Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

UNAJUA MTU ANAWEZA AKAWA ABSENT MINDED AKACHAPA "I" WHICH IS VERY FAR AWAY FROM A
Ni kama wale wanaoandikaga Ngachoka badala ya nachoka sijui G huwa wanaiweka ya nini?
 
mawazo ya kishamba hayo ww jamaa

Endelea kufugwa ili ulipwe mshahara. Na kama unafanya kazi serikalini subiri kidogo tu jiwe ataanza kuwakopa hata huo mshahara wenyewe. Na kutokana na uliyoyaandika hapa naamini huwezi kuwa competent enough kutafuta kazi mbadala.
 
Endelea kufugwa ili ulipwe mshahara. Na kama unafanya kazi serikalini subiri kidogo tu jiwe ataanza kuwakopa hata huo mshahara wenyewe. Na kutokana na uliyoyaandika hapa naamini huwezi kuwa competent enough kutafuta kazi mbadala.
Nitajie mfano wa nchi ambayo haina hao "watumwa"?

Ni kwenye uchumi wa nchi ipi kila mtu kajiajiri hategemei mshahara? Kila anayejiajiri kazi zake zote anafanya mwenyewe bila kuajiri wengine? Ni mashamba ya kijima? Kila mwenye daladala anaendesha mwenyewe bila kuajiri driver na konda. Msidakie wimbo wa kujiajiri bila kujua undni wake.

Waajiriwa, iwe wa sekta binafsi au umma lazima wawepo mkatika uchumi wowote tena ndiyo majority.
 
Nitajie mfano wa nchi ambayo haina hao "watumwa"?

Ni kwenye uchumi wa nchi ipi kila mtu kajiajiri hategemei mshahara? Kila anayejiajiri kazi zake zote anafanya mwenyewe bila kuajiri wengine? Ni mashamba ya kijima? Kila mwenye daladala anaendesha mwenyewe bila kuajiri driver na konda. Msidakie wimbo wa kujiajiri bila kujua undni wake.

Waajiriwa, iwe wa sekta binafsi au umma lazima wawepo mkatika uchumi wowote tena ndiyo majority.

Niliandika nilichoandika based on the context ya kile alichoandika niliemjibu. In fact yeye aliangalia the other side of what you wrote here i.e. ni upumbavu kujiajiri - kwa mujibu wa huyo mtu.

You are right in that kuna kuajiri na kujiajiri. Sikuwa na maana ya kuwa kuajiriwa ni jambo baya lakini nimemjibu huyo anaedhani kuajiriwa ni ujanja lakini ni upumbavu kujiajiri.

Got it buddy?
 
Niliandika nilichoandika based on the context ya kile alichoandika niliemjibu. In fact yeye aliangalia the other side of what you wrote here i.e. ni upumbavu kujiajiri - kwa mujibu wa huyo mtu.

You are right in that kuna kuajiri na kujiajiri. Sikuwa na maana ya kuwa kuajiriwa ni jambo baya lakini nimemjibu huyo anaedhani kuajiriwa ni ujanja lakini ni upumbavu kujiajiri.

Got it buddy?
Got it. That being the case, you are damn right!
 
Endelea kufugwa ili ulipwe mshahara. Na kama unafanya kazi serikalini subiri kidogo tu jiwe ataanza kuwakopa hata huo mshahara wenyewe. Na kutokana na uliyoyaandika hapa naamini huwezi kuwa competent enough kutafuta kazi mbadala.
F uck
 

Anybody who uses insulting language usually hasn't anything to offer to counter whatever challenged with - and deep down they know what the other part has posited to be true. It is hilarious really.
 
Tumechoka na hvi viuzi vyenu vYa kilA mwezi.
 
Back
Top Bottom