Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Endelea kufugwa ili ulipwe mshahara. Na kama unafanya kazi serikalini subiri kidogo tu jiwe ataanza kuwakopa hata huo mshahara wenyewe. Na kutokana na uliyoyaandika hapa naamini huwezi kuwa competent enough kutafuta kazi mbadala.
Acha ushamba we boya,mgawanyo wa kazi ni Nature katika.maisha ya mwanadamu,unadhani wote tungekua wafanyabiashara nani angefunua tako lako na kudungwa sindano pindi ukiumwa? wote tungekua wakulima nani angetuuzia Mafuta ya kula.dukani? wote tungekua wafanyakaz wa serikal au sekta binafsi nani angetupatia mahindi shambani? Acha kubeza wenzako andazi wewe
 
Anybody who uses insulting language usually hasn't anything to offer to counter whatever challenged with - and deep down they know what the other part has posited to be true. It is hilarious really.
F uck YOU.
 
Kuna watu wase**ge sana! Unamdharau mtumishi wa umma kama vile ww unaishi New York US.....So wote tuache kazi tujiajiri kama ww? Na Askari nao waache kazi, madaktari, walimu, pilots, ugani, ugavi, wote waache wajiajiri ili wasiulizie mishahara......Nyie wafanyabiashara si mnakujaga humu na vitopic vyenu Mara Tra kodi kubwa, Mara Wateja wachache, Mara sijui nini......Kumdharau mtu ni use**ge! Maniner
 
Kuna mtu wangu wa karibu anastaafu mwezi ujao,sasa last month alipopeleka viambata vyake pamoja na copy ya salary slip ya mwisho wakamwambia atulie kwanza maana mwezi huu kunaweza kuwa na nyongeza.

Niaje niaje atakufa kwa furaha maana kapanda daraja mwaka jana tu tena ulitangulia mpunga ndo barua ikafuata.
 
Nikweli mkuu kuna badiliko lolote kwenye salary ya mwezi huu? mbona itakuwa poa sana.
Hahahh mku usifikie hitimisho la "mbona itakuwa powa sana"
Kama wamepngeza naomba 2020 tujitokeze kwa wingi kumpigia magufuli huyu ndo RAHISI weyu
 
Acha ushamba we boya,mgawanyo wa kazi ni Nature katika.maisha ya mwanadamu,unadhani wote tungekua wafanyabiashara nani angefunua tako lako na kudungwa sindano pindi ukiumwa? wote tungekua wakulima nani angetuuzia Mafuta ya kula.dukani? wote tungekua wafanyakaz wa serikal au sekta binafsi nani angetupatia mahindi shambani? Acha kubeza wenzako andazi wewe

The fact kuwa umeona bora utukane umethibitisha kuwa huelewi kinachoongelewa. Hujakatazwa kuajiriwa, after all kuajiriwa ni rahisi kuliko kujiajiri.
 
Acha ushamba we boya,mgawanyo wa kazi ni Nature katika.maisha ya mwanadamu,unadhani wote tungekua wafanyabiashara nani angefunua tako lako na kudungwa sindano pindi ukiumwa? wote tungekua wakulima nani angetuuzia Mafuta ya kula.dukani? wote tungekua wafanyakaz wa serikal au sekta binafsi nani angetupatia mahindi shambani? Acha kubeza wenzako andazi wewe
Huyo jamaa ni mpuuzi wa kupuuzwa mkuu.

Kuna secta muhimu sana ambazo waajiriwa muhimu.
 
Kuna watu wase**ge sana! Unamdharau mtumishi wa umma kama vile ww unaishi New York US.....So wote tuache kazi tujiajiri kama ww? Na Askari nao waache kazi, madaktari, walimu, pilots, ugani, ugavi, wote waache wajiajiri ili wasiulizie mishahara......Nyie wafanyabiashara si mnakujaga humu na vitopic vyenu Mara Tra kodi kubwa, Mara Wateja wachache, Mara sijui nini......Kumdharau mtu ni use**ge! Maniner
Sio kwamba nimekupa like kwa matusi yako mkuu ils hyo point uloizungumza
 
Kuna watu wase**ge sana! Unamdharau mtumishi wa umma kama vile ww unaishi New York US.....So wote tuache kazi tujiajiri kama ww? Na Askari nao waache kazi, madaktari, walimu, pilots, ugani, ugavi, wote waache wajiajiri ili wasiulizie mishahara......Nyie wafanyabiashara si mnakujaga humu na vitopic vyenu Mara Tra kodi kubwa, Mara Wateja wachache, Mara sijui nini......Kumdharau mtu ni use**ge! Maniner

Endelea kuajiriwa, kwani kuna shida? It is your choice. Kama nilivyoelezea mwanzo, kuajiriwa ni rahisi zaidi kuliko kujiajiri. Btw, mwajiriwa analipa kodi kubwa kuliko aliejiajiri. It takes guts and courage to be self employed, hatutarajii kila mtu awe nayo. Tukana uwezavyo, but that's the reality.
 
Back
Top Bottom