Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Lazima uogope, kujitafutia mshahara wako mwenyewe na huku ukiwalipa wengine sio mchezo. Lakini bora mwenye njaa mpaka akanuka lakini akiwa amejiajiri kuliko anaeshiba kwa kutegemea mshahara na salary advance.
Wewe Ni mpuuz, hujui maana ya uchumi,kila mtu akijiajiri je duka lako/biashara yako Nan atanunua ?
Mshahara Ni jasho la mtu kwa kaz yake Kama ambavyo wewe unapata Riziki kupitia ujasiriamali wako
Pia Kwan ukiwa na mshahara huwez kufanya shughuli zingine? Mbna mm Ni mwajiriwa lkn Nina biashara zaidi ya 10 na nimeajiri watu?
 
Back
Top Bottom