- Thread starter
- #21
Sorry mkuu ITM=ATMITM ndo wapi ?
Sorry mkuu ITM=ATMITM ndo wapi ?
Jamaa wameongeza nadhani 25%Naona mzigo umeongezwa
Wacha weee!! Machozi ya simba kama kawaNaona mzigo umeongezwa
acha ukuda ww unataka watu wote wajiajli watu km nyie utakuta mna njaa mpaka mnanuka shame
weka pichaMSHAHARA UMETOKA WAZEE
Acha wenge Mkuu utaua watu kwa mshitukoMSHAHARA UMETOKA WAZEE
HahaaaaNaona mzigo umeongezwa
Jamaa wameongeza nadhani 25%

???Huyu atakuwa na dole gumba kubwa sana maana 'A' na 'I' zipo mbalimbali kwenye keyboard hata hazipakani.
mawazo ya kishamba hayo ww jamaaLazima uogope, kujitafutia mshahara wako mwenyewe na huku ukiwalipa wengine sio mchezo. Lakini bora mwenye njaa mpaka akanuka lakini akiwa amejiajiri kuliko anaeshiba kwa kutegemea mshahara na salary advance.
mshahara bado bana acheni uongooJamaa wameongeza nadhani 25%