pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 879
- 618
Ssshh nipo kuzitumia tukutane kwenye Uzi mpya tar 19 agostiwe upo njia ipi
Ssshh nipo kuzitumia tukutane kwenye Uzi mpya tar 19 agostiwe upo njia ipi
Mkumbuke tu kulipa madeni ya watu.
Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ahsante Mungu, nakushukuru baba wa mbinguni,
ahsante umewezesha hili limefanikiwa, yaani nilitegemea ningepata tangia 19/7/2019 lakini sikuona hadi leo hii 24/7/2019 ndio nimeona.
Nimefurahi sana kupata hii kitu.
NIMEONA SIKU ZANGU, NILIKUWA NA WASIWASI WA KUPATA MIMBA ILA LEO NIMEPATA MP
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄




ndo umeandika nn sasa mara mimba mara sikuOh. Nina mawazo ya kishenzi. Nilifikiri unasema umefika kileleni.Kwenye account
Ilikuwa kiwewe cha kusubiria mshahara lakini umetoka sasa niko njemando umeandika nn sasa mara mimba mara siku
Sawa dada nakuja kunywa sodaIlikuwa kiwewe cha kusubiria mshahara lakini umetoka sasa niko njema
hahahahahhaha
Karibu yaani hapa nachungulia saa kila muda, naona saa kumi ya JPM aliyosema uwe ndio muda wa kufungua Bar hata haifiki. hahahahahaahhahhaSawa dada nakuja kunywa soda
Wanaweka kwa batch. wengine bado hawajaona mkuuHivi wanaweka kwa pamoja watumishi wote au wanaweka kwa butch?
RIP Uzi wetu. hahahaahahaahahaTumefunga rasmi uzi huu leo,tukutane tena agosti 24
😂😂😂😂😂😂Karibu yaani hapa nachungulia saa kila muda, naona saa kumi ya JPM aliyosema uwe ndio muda wa kufungua Bar hata haifiki. hahahahahaahhahha
Si umeona hata uzi umedorora. hahahahahahahahNaona mmeingiziwa mtatulia sasa
Wanaweka kwa batch. wengine bado hawajaona mkuu
Mshahara umetoka Wakuu niwatakie kazi njema katika kujenga Taifa letu. Wafanyakazi wote hoyeeeee