Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Mpaka lini?Vuta subira ndugu yangu
Mpaka lini?Vuta subira ndugu yangu
Pole sana vuta subira kidogo, hatuchekani wengine tumeamua kwenda mazoezini kupoteza mudaAcha nimefulia wewe Huu mwezi wa sita nashangaa nilikuwa na majukumu ya kuhamia nyumba mpya imenifilisi sana hata balance hakuna naomba hata elf 5 rafiki
Changamka fasta pm na namba yako ya muhamala wengine tunachukuaga salary advance mwisho wa mwezi kama ivi wengine mkifulia tunakaa bar wenyewe tunasumbua.
Wajeda bado ngoma haijasoma
Kitu hichoooooQUOTE]
Hata kama mm wa kiwango hicho ila Nashukuru naweza kujihudumia kuanzia kodi Nauli za kunipeleka popote najilisha chakula chochote navaa nikitakacho kwa hiyo hela yangu ninayoisubiria hapaa. Mkuu kwa usawa wa maguu mtu kama mm au Manengelo tuna soko balaaaa
Habari ndiyo hiyoView attachment 1160552
Mshahara ukitokaga tu huu uzi unazima ghafla, ukiona hivi ni dalili kuwa bado ngoma haijasoma..... sio busara kuongea wakati wa mlo.
Uongo ni dhambi kubwa sana. Na linapokuja kusema uwongo kuhusu mshahara ni mara mbili ya dhambi ya uongo wa kawaida. Nyie hamjui tuu watu wapo na hali gani? Kuweni na huruma
![]()
Nitumie elf 10 tu inatoshaaa
Ahaaa!Umedhani mie ni mtumishi sasa ww endelea kufata vibes zetu..wengine tunatoa stress huku...alafu koma kunifata fata...sijawahi kukuomba ht buku ati
Chelewa chelewa sasa nilewe.Hahahaha nakuja faster
Pole sana vuta subira kidogo, hatuchekani wengine tumeamua kwenda mazoezini kupoteza muda
Ukipata danga la buku fanya kunirushia tu piyemu best..achana na watu wanaojiona wenyew ndo watumishi....hahahaa...hehehehhee hiiihhi
Mkuu mkuu mkuu uongo dhambi
Dah..Nilikua napima joto mkuu, kweli uongo dhambi
Acha uongo , mshahara badoMbona toka tarehe 19