Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Habari ndiyo hiyo
tapatalk_1563890969549.jpeg
 
Demiss na manengelo ni civil servants, na kwa mapepe yao,ni watumishi wa level ya chini tu!Na wadangaji vile vile,ndo maana unawaona wote wanatrend huku.Ingawa namtaman sana Demiss kwa mapepe yake!

Mie sio mtumishi aisee. .mie napita kokote kule aisee sigombwi na mtu..hahaa ! pole pia
 
Acha nimefulia wewe Huu mwezi wa sita nashangaa nilikuwa na majukumu ya kuhamia nyumba mpya imenifilisi sana hata balance hakuna naomba hata elf 5 rafiki
Demiss sikuwezi, unatembelea thread Mbili kwa mpigo, kweli vyuma vimekaza
 
Hata kama mm wa kiwango hicho ila Nashukuru naweza kujihudumia kuanzia kodi Nauli za kunipeleka popote najilisha chakula chochote navaa nikitakacho kwa hiyo hela yangu ninayoisubiria hapaa. Mkuu kwa usawa wa maguu mtu kama mm au Manengelo tuna soko balaaaa
Demiss na manengelo ni civil servants, na kwa mapepe yao,ni watumishi wa level ya chini tu!Na wadangaji vile vile,ndo maana unawaona wote wanatrend huku.Ingawa namtaman sana Demiss kwa mapepe yake!
 
Back
Top Bottom