Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,446
hutaki niunge mkuuDuuuuh mkuu na wewe umeunga hoja, kuwa umetoka.
hutaki niunge mkuuDuuuuh mkuu na wewe umeunga hoja, kuwa umetoka.
Mkuu unajua nakuamini siku nyingi sana..ebi sema ukweli..?
Punguza mizaha..hutaki niunge mkuu
Aah mkuu NMB wamenitumia meseji kwamba nadaiwa alfu 9(9000) Tsh kwa ajili ya makato ya kuangalia salio.mana kila ukienda unakuta "SALIO LAKO HALITOSHELEZI"Mkuu,
Huna uwezo wa kuangalia kwenye simu?
wanaotegemea salary from government ni less than 10% ya waTZ.Hili jambo la kuchelewesha Salary ni mpango mkakati wa kutusahaulisha juu ya kinachoendelea Mitandaoni na masikioniwa wananchi !
Watu wataacha kuzungumzia maamuzi yaliyofanywa na Mfalme JUHA! Nakuongelea swala la Salary kucheleweshwa kwa Watumishi wa Serilkali!
Vipi umetoka mkuu ?unaota wewe
Mwezi jana and some few moths back walilipa tarehe 19!
Dahh, kweli aiseee. UMETOKA MKUU
Sisi usalama tumeshapewa
Wanajaifanya wanavibiashara vyao wakati vimedoda kisa mishahara haijaingia. Bar zote kumekauka wiki mbili zimepita wanapiga miayo tuu, shenziii
ha ha ha ha haKafanye hujaitwa hapa![]()
Labda ya tarehe ya kulipa salary.Kuna increments ndo maana umechelewa,
Mbona masihara sana humu.....
Mwenye uhakika atuambie Tayari au bado!??
ha ha ha kuna nyongeza yoyote,ili tuwapandishie bei ya vitu?Tayari
Tayar HahahahaView attachment 1160480
Duhh..!
Imebidi ncheke tuMshahara tayari
Kuna ongezeko kubwa sana!
JPM katufanyia suprise kwa kweli!
Wahini kwenye ATM mkachague lugha
Alisikika mlevi mmoja mtaani kwetu leo asubuhi akinena maneno hayo!
![]()