Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

TANGAZO! TANGAZO!

Yeyote atakae pata taarifa ya kuandama kwa mwezi maeneo ya NMB atupe taarifa haraka ili kesho tusijikute tunaendelea tena na mfungo wa Koresma'


NB:Ikumbukwe kuwa mfungo uliopita mwezi ulionekana tarehe 19 June.
Taharifa kutoka jikon mwez huu unapita neutral.hutak andamana
 
Mlivyowaishiwa miezi iliyopita kwa nini hamkuja kuanzisha uzi
 
Leo kutakuwa na bia za promosheni na burudani ya muziki mpaka asubuhi...leteni mishahara yenu
Nadhani ni kazi mojawapo ya mshahara mkuu, tukizipata lazima tuzirudishe kwenye mzungukuko kwa kasi ya hatari ili barmaid nae alipwe mshahara wake, mchoma nyama pale kati, nyumbani nako mama watoto afurahi, si unajua tena multiplier effect mkuu.
 
Nadhani ni kazi mojawapo ya mshahara mkuu, tukizipata lazima tuzirudishe kwenye mzungukuko kwa kasi ya hatari ili barmaid nae alipwe mshahara wake, mchoma nyama pale kati, nyumbani nako mama watoto afurahi, si unajua tena multiplier effect mkuu.
ha ha ha ha ni kweli mkuu,mzunguko muhimu
 
ha ha ha ha 'Money is power'; naona nyuso za watu zimekuwa na furaha na nguvu za kiume/kike zinarejea kwa kasi.
 
Back
Top Bottom