Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Hahahahha
Unasubiri mshahara mpaka unalewa. Ukishatoka unaenda kuzimua kuja kushtuka umeisha tayari [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Mawazo yanaanza tena.
 
TANGAZO! TANGAZO!

Yeyote atakae pata taarifa ya kuandama kwa mwezi maeneo ya NMB atupe taarifa haraka ili kesho tusijikute tunaendelea tena na mfungo wa Koresma'


NB:Ikumbukwe kuwa mfungo uliopita mwezi ulionekana tarehe 19 June.
Demiss naye ni mtumishi wa umma??!!!..hahaha
 
Kuna member kaniambia navizia madanga hahahaha
Hahhahaa usimchukulie poa..ohoo[emoji28]
Screenshot_20190723-163624.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20190723-163624.jpeg
    Screenshot_20190723-163624.jpeg
    43.1 KB · Views: 29
Leo kutakuwa na bia za promosheni na burudani ya muziki mpaka asubuhi...leteni mishahara yenu
 
Hata uweke vielelezo bado utasemwa tu binadamu tunawafata vile wanavyotaka hahah[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji28][emoji28][emoji28] ww inabid uwape vielelezo vyako uwafunge midomo..tunaosubiri madanga yapate mshahara tuko kimyaaaaa.tunajitikisa tu hapa[emoji28][emoji126][emoji126]
 
Back
Top Bottom