Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

TANGAZO! TANGAZO!

Yeyote atakae pata taarifa ya kuandama kwa mwezi maeneo ya NMB atupe taarifa haraka ili kesho tusijikute tunaendelea tena na mfungo wa Koresma'


NB:Ikumbukwe kuwa mfungo uliopita mwezi ulionekana tarehe 19 June.
Demiss naye ni mtumishi wa umma??!!!..hahaha
 
Kuna member kaniambia navizia madanga hahahaha
Hahhahaa usimchukulie poa..ohoo
Screenshot_20190723-163624.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20190723-163624.jpeg
    Screenshot_20190723-163624.jpeg
    43.1 KB · Views: 23
Leo kutakuwa na bia za promosheni na burudani ya muziki mpaka asubuhi...leteni mishahara yenu
 
Hata uweke vielelezo bado utasemwa tu binadamu tunawafata vile wanavyotaka hahah
ww inabid uwape vielelezo vyako uwafunge midomo..tunaosubiri madanga yapate mshahara tuko kimyaaaaa.tunajitikisa tu hapa
 
Back
Top Bottom