Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Hili jambo la kuchelewesha Salary ni mpango mkakati wa kutusahaulisha juu ya kinachoendelea Mitandaoni na masikioniwa wananchi !

Watu wataacha kuzungumzia maamuzi yaliyofanywa na Mfalme JUHA! Nakuongelea swala la Salary kucheleweshwa kwa Watumishi wa Serilkali!
 
Kuna kamfuko fulani hivi huwa kanachelewesha sana mshahara utazani sisi wafanyakazi tuna biashara nje ya kaz tunaishia kukopa mshahara ukiingia madeni kibao..unakuta mapaka tarehe 25/26 sometimes mpaka 27 ndiyo hela inasoma nyambafu
 
Back
Top Bottom