spinderella
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,393
- 1,905
Kama ameajiriwa mshahara ni haki yake..na lazima aishi kwa mshahara wake..vinginevyo awe mwizi.Mkuu usiishi kwa mshahara.
Hamna...ni ile ile ya Mwezi uliopita.Kuna ongezeko lolote?


nadhani ianzishe thread maalum 'Mshahara Special Thread' heeeee heeeee hakika safari bado ni ndefu.ha ha ha umeona eh wazo zuri,utoke tu huo mshahara wengine tupewe mgao wa thikukuu na masponsor chaaa...Kila mwisho wa mwezi lazima kuibuke thread ya aina hiinadhani ianzishe thread maalum 'Mshahara Special Thread' heeeee heeeee hakika safari bado ni ndefu.
hivi ekari moja ya miti ya mkorosho inatoa gunia ngapi ukiokota? au mti mmoja wa m bibo unaweza kutoa kilo ngapi?Unaijua Bei ya korosho wewe karai?
ha ha ha umeona eh wazo zuri,utoke tu huo mshahara wengine tupewe mgao wa thikukuu na masponsor chaaa...


kumbe bado mnapata mgao toka kwa masponsor....?vyuma vilivyokaza imebidi nijifanye ni muumini wa "kuhonga kunaleta mikosi"kumbe bado mnapata mgao toka kwa masponsor....?vyuma vilivyokaza imebidi nijifanye ni muumini wa "kuhonga kunaleta mikosi"
bado tu wanatoa wale waliokua addicted na kuhonga..si unajua ukiwa mlevi pombe ni ngumu kuacha kabisa

![]()
![]()
![]()
bado tu wanatoa wale waliokua addicted na kuhonga..si unajua ukiwa mlevi pombe ni ngumu kuacha kabisa
![]()
![]()
![]()

nikipona nitarudia kuhonga lakini.Tumekusoma kuwa now mguu 1 mbovu hivyo,Mimi nilikua mhongaji haswaa ila nina miaka miwili ivi nimeugua sana ivyo nina allergy ya kuhonga yaani nikishika tu wallet nitoe mzigo basi miguu inavimba,kifua kinabana na moyo unaenda mbio sanaaaaanikipona nitarudia kuhonga lakini.

MKUU MZIGO UMESHAINGIA EEEHWatu oyee,,natambaaa,aslay anachukua nafasi yake kwa sasa,,
Hatupangiwi na mtuMkumbuke kuna january,msitumie zote kwenye x-mass na mwaka mpya!
Hatupangiwi na mtu