Mshahara wa Disemba 2017

Mshahara wa Disemba 2017

jaman wadau labda sie wa mashirika tu ndo tumekaushiwa!

mbona mpaka leo mshahara hakuna na vyuma vimeka.................. ( ukimalizia tu jela)

yan ni tete kwelikweli! saa 7 kasoro bila bila

muwe na huruma nyie hazina
 
jaman wadau labda sie wa mashirika tu ndo tumekaushiwa!

mbona mpaka leo mshahara hakuna na vyuma vimeka.................. ( ukimalizia tu jela)

yan ni tete kwelikweli! saa 7 kasoro bila bila

muwe na huruma nyie hazina
Are you serious? Aisee mbona salary imetema kitambo mpaka tumeshasahau
 
wew unaishi tz au nchi gn, wengine tumeshamaliza huo mshahara jana... leo bia za mikopo
Mkuu ni kweli umetoka??? maan wengine twakaa mbali na Benki twaweza panda bus tukakosa Nauli ya kurudia
 
Nilijua Leo ungeingia mshahara wa mwezi Disemba Kama ilivyokuwa last year ila Naona kimya duh . Anyway Ngoja nisubiri tu Maana chuma kinakaribia kukatika .
Mkuu kuajiriwa ni utumwa,fanya hima ukajiajiri.Binafsi I hate orders and deadlines.Napenda kuwa my own boss.
 
Baada ya mishahara kutolewa, sasa watumishi waamuakuutelekeza uzi huu.
Samahani wenyeji wa uzi huu wamesafiri.
Kama una shida nao nenda urudi baada ya mwaka mpya 2018.
Nakutakia heri ya krismas na mwaka mpya
 
TUKUTANE 20 JAN 2018 TUKIHABARISHANA TAARIFA ZA MSHAHARA,SASA TUNAFUNGA UZI HUU KWA MUDA, mode zingatia hilo
 
Watumishi wa umma ni majitu ya OVYO sana katika nchi hii ndio maana makufuri anazidi kuyabana kila kukicha huku yamekaa kimya...nyambaFU zenu! Nchi nyingi duniani hukombolewa na watumishi wa umma lakini huku kwetu hali ni kinyume chake.
 
Watumishi wa umma ni majitu ya OVYO sana katika nchi hii ndio maana makufuri anazidi kuyabana kila kukicha huku yamekaa kimya...nyambaFU zenu! Nchi nyingi duniani hukombolewa na watumishi wa umma lakini huku kwetu hali ni kinyume chake.
Haaaaaahaaah
Mkuu punguza hasira
 
Back
Top Bottom