Mshahara wa Disemba 2017

Mshahara wa Disemba 2017

Heeh..!! hawa hazina hawalali? ? yaani usiku huu ndo wameingiza mshahara wangu, au kwa vile daraja langu jipya bado hawajalipa... matumaini yote pyuuuu..!!!!
uzushi unaweza ukahesabiwa kuwa uchochezi....beware !!!
 
Halafu Kuna kitu huwa sikielewi kwa hawa wakosoaji wa MTU anayeulizia mshahara.Kwani si kaufanyia kazi?? Haya wote tukiwa na mashamba hayo mazao atayanunua nani.Si ni kwamba walioajiriwa wakipata pesa ndo wananunua chakula.Ni mgawanyiko tu.Au hawajui kwamba mwisho wa mwezi ndo biashara inakywepo kutoka kwa hao hao mnaowabeza eti wasubiri mshahara .No wafanyakazi wore wakulima nchi itakwenda? Je hao wafanyakazi hawafanyi kitu cha faida Mfano nenda uhamiaji unatafuta passport, visa au chochote zile purukushani za wafanyakazi wake Mpaka unapata .Leo anadai haki ya kazi yake unamponda.Sio lazima wote tukawa wafanyabiashara au wakulima .Kila MTU ni muhimu pale alipo. Na wengine wameajiriwa huku ni wafanyabiashara au wakulima na atadai tu haki yake.Kwani Mpaka kuipata aliisotea!
Vichwa havifanani vipo vya bange cocaine gongo laana albadir malezi mabaya sikio la kufa
 
Halafu Kuna kitu huwa sikielewi kwa hawa wakosoaji wa MTU anayeulizia mshahara.Kwani si kaufanyia kazi?? Haya wote tukiwa na mashamba hayo mazao atayanunua nani.Si ni kwamba walioajiriwa wakipata pesa ndo wananunua chakula.Ni mgawanyiko tu.Au hawajui kwamba mwisho wa mwezi ndo biashara inakywepo kutoka kwa hao hao mnaowabeza eti wasubiri mshahara .No wafanyakazi wore wakulima nchi itakwenda? Je hao wafanyakazi hawafanyi kitu cha faida Mfano nenda uhamiaji unatafuta passport, visa au chochote zile purukushani za wafanyakazi wake Mpaka unapata .Leo anadai haki ya kazi yake unamponda.Sio lazima wote tukawa wafanyabiashara au wakulima .Kila MTU ni muhimu pale alipo. Na wengine wameajiriwa huku ni wafanyabiashara au wakulima na atadai tu haki yake.Kwani Mpaka kuipata aliisotea!
 
Kujiongeza ni muhimu jamani..

Pleasee...mtaumbukä siku. Uza hata icecream. Zinafaida. Na hukosi hela ya mboga.
ACHA UTANI NDUGU! HUJUI KAMA HII NI AWAMU YA KUKUSANYA KODI! EBU NENDA TRA UWAAMBIE KUWA UNATAKA KUUZA ICE-CREAM UONE KODI WATAKAYOTAKA!
 
Wale wajinga wasiojua, tajiri Bakhresa ana mshahara. Anafanya biashara zake na anajilipa mshahara. Ili biashara zake ziende, lazima ajiri watu, tena wengi tu. Hao wanalipwa mishahara.
Biashara ya mtu mmoja bila kuajiriwa mara nyingi ni uchuzi tu.

Hakuna namna ambayo kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara asiyetegemea mshahara. Hiyo nchi haipo duniani. Labda kule Mars!
 
Back
Top Bottom