kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
Mshahara ni pato litokanalo na shughuli uifanyayo.!!!!!Mkuu usiishi kwa mshahara.
Mshahara ni pato litokanalo na shughuli uifanyayo.!!!!!Mkuu usiishi kwa mshahara.
Acha kufikiri kirahisi rahisi.Mkuu usiishi kwa mshahara.
Usiombe yakukute..!!Ni maneno Mazito sana haya. Kuna watu hawata elewa mpaka yawakute
Achana na nanga hao, usipoteze muda wako kuwaeleweshaAcha kufikiri kirahisi rahisi.
Mtu akiwa mfanyakazi bado anaweza kua mfanyabiashara Sasa kosa lake nini kuuliza mshahara ilihali amefanya kazi? Au akishakua na biashara na pia ni mfanyakazi basi asiulize mshahara?
Watu wa jf wanajifanya kila mtu kajiajiri wakati ukienda jukwaa la kazi watu kibao wanatafuta kazi yoyote halali.
Watu kibao humu wameajiriwa na wana biashara zao vile vile wana mashamba kibao, pamoja na hayo kuuliza mshahara ni lazima kwa sababu mshahara ndio foundation inayowapa uwezo wa kupanua biashara zao na hata biashara ikiyumba mtu halali njaa maana atapata mshahara wakati anajipanga kurekebisha biashara zake.
wanahakiki tarakimu !!!!Jamani tareh 22 ngoma haijaingiaaaa
SureKwa baadhi NMB tayari

Benki gani?Mshahara Tayari.
NMB.Benki gani?
Kivipi kwa baadhi?!?Kwa baadhi NMB tayari
We unaemwambiz mwenzako achome vitumbua unajua anaishi wapi,anaexpirience gani,na watu wanao mtegemea so sio kila mchoma vitumbua ana mafanikio.Anzeni kuchoma vitumbua jioni Kariakoo Wazambia wanaokuja kununua mizigo wanavipenda sana kwa chai
Kulalamika hakusaidii( Hali Mtaani inasikitisha Mangi madukani wanalalamika kukopwa( Aiseeee this is sad kwa kweli)
Kuna ongezeko lolote?Mshahara Tayari.