kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
panda juu ya paa ukaombe.ukiomba kwa bidii utawekewa wewe badala yao !! ulozi huanza hivi hivi !!!!!acheni huo utumwa.....ni upumbavu.....naombea wasiwawekee mpaka baada ya xmas
panda juu ya paa ukaombe.ukiomba kwa bidii utawekewa wewe badala yao !! ulozi huanza hivi hivi !!!!!acheni huo utumwa.....ni upumbavu.....naombea wasiwawekee mpaka baada ya xmas
haswaaa ni kweli kabisa yaani hapa mi nawatamani.nyie wangu uliingia treh kumi na.tisa sasa nishaulamba chaap tupanda juu ya paa ukaombe.ukiomba kwa bidii utawekewa wewe badala yao !! ulozi huanza hivi hivi !!!!!
Hawa jamaa wa utumishi mbona hawaaprove promotion zetu, kila kitu kimeshakuwa uploaded kwenye system ya Lawson yaani issue iliyobaki ni kuclick button ya approve tu nayo imekuwa ni tatizo kweli....au hela hakuna huko hazina maana Sizonje alishatoa go ahead. Me nilitegemea mwezi huu mpunga uongezeka ila napokea sms toka bank hapa ila hola hamna ongezeko nimemind saaana hata hizi sikukuu hazina maana kwangu. Pumbafùuuuu.

Mimi nilikua mhongaji haswaa ila nina miaka miwili ivi nimeugua sana ivyo nina allergy ya kuhonga yaani nikishika tu wallet nitoe mzigo basi miguu inavimba,kifua kinabana na moyo unaenda mbio sanaaaaanikipona nitarudia kuhonga lakini.
njoo nikuponye basiiiHiyo ni sawa na kusema baba kumwita mke wake mama,japo mtoto hawezi kumwita mama yake mke wangu!! Au kununua gari kisha ukampa dereva akuendesheWale wajinga wasiojua, tajiri Bakhresa ana mshahara. Anafanya biashara zake na anajilipa mshahara. Ili biashara zake ziende, lazima ajiri watu, tena wengi tu. Hao wanalipwa mishahara.
Biashara ya mtu mmoja bila kuajiriwa mara nyingi ni uchuzi tu.
Hakuna namna ambayo kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara asiyetegemea mshahara. Hiyo nchi haipo duniani. Labda kule Mars!
Kwa hiyo tuende na ice cream tuuze tukiwa kazini kazini!!! Hujitambui na hujui maadili Kazi.!!! Mshahara siyo hisani. Kwani sikukuu si ilijulikana utakuwa lini!Kujiongeza ni muhimu jamani..
Pleasee...mtaumbukä siku. Uza hata icecream. Zinafaida. Na hukosi hela ya mboga.
Ungeuliza tu kama hujaelewaKwa hiyo tuende na ice cream tuuze tukiwa kazini kazini!!! Hujitambui na hujui maadili Kazi.!!! Mshahara siyo hisani. Kwani sikukuu si ilijulikana utakuwa lini!
Utakuwa msukuma wa Chattle.acheni huo utumwa.....ni upumbavu.....naombea wasiwawekee mpaka baada ya xmas
Watu oyee,,natambaaa,aslay anachukua nafasi yake kwa sasa,,

ndugu mi nimeongea hadi nimeamua kuwa bubu sasa, liwalo na liweVyuma vinatoa moshi hapa....wakuu hii ni dalili ya nini??