Mshahara wa Disemba 2017

Mshahara wa Disemba 2017

panda juu ya paa ukaombe.ukiomba kwa bidii utawekewa wewe badala yao !! ulozi huanza hivi hivi !!!!!
haswaaa ni kweli kabisa yaani hapa mi nawatamani.nyie wangu uliingia treh kumi na.tisa sasa nishaulamba chaap tu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Yan hizi mishahara zimekuwa ni kweree! Crdb wakiingiza tujuzane aseee , nikalipe ada kinachobakia ndo chakula Xmass hiii
 
Hawa jamaa wa utumishi mbona hawaaprove promotion zetu, kila kitu kimeshakuwa uploaded kwenye system ya Lawson yaani issue iliyobaki ni kuclick button ya approve tu nayo imekuwa ni tatizo kweli....au hela hakuna huko hazina maana Sizonje alishatoa go ahead. Me nilitegemea mwezi huu mpunga uongezeka ila napokea sms toka bank hapa ila hola hamna ongezeko nimemind saaana hata hizi sikukuu hazina maana kwangu. Pumbafùuuuu.
 
Mimi nilikua mhongaji haswaa ila nina miaka miwili ivi nimeugua sana ivyo nina allergy ya kuhonga yaani nikishika tu wallet nitoe mzigo basi miguu inavimba,kifua kinabana na moyo unaenda mbio sanaaaaa nikipona nitarudia kuhonga lakini.
njoo nikuponye basiii
 
Wale wajinga wasiojua, tajiri Bakhresa ana mshahara. Anafanya biashara zake na anajilipa mshahara. Ili biashara zake ziende, lazima ajiri watu, tena wengi tu. Hao wanalipwa mishahara.
Biashara ya mtu mmoja bila kuajiriwa mara nyingi ni uchuzi tu.

Hakuna namna ambayo kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara asiyetegemea mshahara. Hiyo nchi haipo duniani. Labda kule Mars!
Hiyo ni sawa na kusema baba kumwita mke wake mama,japo mtoto hawezi kumwita mama yake mke wangu!! Au kununua gari kisha ukampa dereva akuendeshe
 
Kujiongeza ni muhimu jamani..

Pleasee...mtaumbukä siku. Uza hata icecream. Zinafaida. Na hukosi hela ya mboga.
Kwa hiyo tuende na ice cream tuuze tukiwa kazini kazini!!! Hujitambui na hujui maadili Kazi.!!! Mshahara siyo hisani. Kwani sikukuu si ilijulikana utakuwa lini!
 
DRkutorXUAAxbmo.jpg
 
Vyuma vimeachia kwa watumishi, tunasubiri thread nyingine ya mishahara kuanzia 10 january, maana huo mwezi dume vyuma vitabana kweli kweli
 
Back
Top Bottom