Mshahara wa Disemba 2017

Mshahara wa Disemba 2017

Kujiongeza ni muhimu jamani..

Pleasee...mtaumbukä siku. Uza hata icecream. Zinafaida. Na hukosi hela ya mboga.

Ni maneno Mazito sana haya. Kuna watu hawata elewa mpaka yawakute
 
Bora walipe tu kabla ya sikukuu maana ikiwa baada ya Sikukuu utasababisha madeni makubwa.Ila mtu anayekuwa Na Reserve mwezi January maisha Huwa yanakuwa matamu sana
Mishahara c imetok tangu juzi watu tumeshaimaliza kabisa au nyie wengine bado mi nasubiri ration allowance kisha nijipange na utapel wa kufa mtu mwezi ujao wa kwanza maana hapo sitochomoka
 
Hivi mnalipwa mshahara au masihara ? Ngoja nikomae na boxes.
 
Poleni watumishi, poleni watanzania.
Daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana
Hata sasa majungu. Tume huru na mshahara hapa na wapi? Kwanza mwidho wa mwezi bado, ni tarehe 28. Hakuna mkataba wa kuwahisha mshahara kwa sababu ya sikukuu. Mimi ni mwalimu, mshahara wangu unaeleweka. Sina stress. I,m just waiting for the end of the """moon""
 
Back
Top Bottom