Mshahara wa Disemba 2017

Mshahara wa Disemba 2017

Hata sasa majungu. Tume huru na mshahara hapa na wapi? Kwanza mwidho wa mwezi bado, ni tarehe 28. Hakuna mkataba wa kuwahisha mshahara kwa sababu ya sikukuu. Mimi ni mwalimu, mshahara wangu unaeleweka. Sina stress. I,m just waiting for the end of the """moon""
aaaaah vipi aisee? pale toilet umepaachaje au maji hakuna ?
 
Nilijua Leo ungeingia mshahara wa mwezi Disemba Kama ilivyokuwa last year ila Naona kimya duh . Anyway Ngoja nisubiri tu Maana chuma kinakaribia kukatika .
Subiria hadi jumatatu ...mshahara hàutoshi tafuta mafao mengine
 
Nani ni mmiliki halali wa AIRTEL? JF members achene ushabiki njooni tuinyooshe nchi
 
Duu kama mtu unasubiria mshahara ili uishi ni hatari sana. Yaani huo mshahara haudumu kwa siku 30? Naombeni watumishi wa umma mjipange acheni kujifariji na neno pensionable. Mshahara wenyewe mtaumaliza tarehe 25,26 na 1.
 
Duu kama mtu unasubiria mshahara ili uishi ni hatari sana. Yaani huo mshahara haudumu kwa siku 30? Naombeni watumishi wa umma mjipange acheni kujifariji na neno pensionable. Mshahara wenyewe mtaumaliza tarehe 25,26 na 1.
Yaani inaonesha wewe ni mshamba haswaaaa,ishi maisha yako achana na maisha ya watu
 
Natamani atoe tarehe 31 watu hamjiongezi hata biashara za elfu 10 kwa siku khaa!!
Watumishi wa Umma
Hata tungetoa
Mshahara hata upate 5M hautoshi
Kikubwa ni kupunguza matumz yasiyo ya lazima
Ili kuweza kutosha mwezi mzima na ubaki na akiba kiasi

Majira yamebadilika
Huu ni ushauri wangu

Mshahara hata siku moja hautatosha ikiwa una matumz yasiyo ya lazima
 
Back
Top Bottom