Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,299
- 4,700
Ndiyo shida ya kuajiriwa na kutegemea mshahara. Ungekuwa unalima wala huna "stress" za namna hii za kuchungulia bank kila mara. Ukitaka mali utayapata shambani. Karibu tulime.Nilijua Leo ungeingia mshahara wa mwezi Disemba Kama ilivyokuwa last year ila Naona kimya duh . Anyway Ngoja nisubiri tu Maana chuma kinakaribia kukatika .
