Mshahara wa Agosti 2019

Mshahara wa Agosti 2019

Kina sehemu nilisikia wengine wanaiba hizo sukari na majani ya chai ya ofisini wanapeleka majumbani kwao
Hatari sana..
Kuna Mlinzi mmoja mahali alikuwa anaiba viti,vikombe ,sahani mpaka ngazi na vijiko bht nzuri kuna namna walikuwa wanaweka alama.
Baada ya Kufariki yeye mwenyewe kwenda msibani vikakutwa vitu vyote ikumbukwe hawakuwai muwazia kama anaweza iba na hali iliyosababisha wafanyakazi wahisiane wenyewe kwa wenyewe(Sometimes check na walinzi)wanaiba sana usiku
 
Hawa jamaa zetu sijui wana nini na hii mikopo isiyo ya lazima
Kuna jamaa yangu hapa ni mhandisi tena mkuu wa idara halmashauri ameenda kukopa mtaani ikabidi akabidhi kadi..yaani ni aibu tupu anaenda bar anakunywa kwa mkopo..sio walimu tu yaani utumishi wa umma ni shidaaaaaa!!
 
Hawa jamaa zetu bwana... Sasa kuna mmoja juzi kaenda kukopa kwa ribu sh elfu 70... Kweli? Mtumishi wa umma
Salary ndogo sana mkuu afu no marupurupu mengine so asipojiongeza na kaujasiriamali mwezi lazima uwe mrefu kila mwezi
 
Kuna jamaa yangu hapa ni mhandisi tena mkuu wa idara halmashauri ameenda kukopa mtaani ikabidi akabidhi kadi..yaani ni aibu tupu anaenda bar anakunywa kwa mkopo..sio walimu tu yaani utumishi wa umma ni shidaaaaaa!!
Dah pombe mpaka unakabidhi ATM Card huo ufala
 
Kuna jamaa yangu hapa ni mhandisi tena mkuu wa idara halmashauri ameenda kukopa mtaani ikabidi akabidhi kadi..yaani ni aibu tupu anaenda bar anakunywa kwa mkopo..sio walimu tu yaani utumishi wa umma ni shidaaaaaa!!
Acha ufala wewe, ata akikopa si anarudisha pesa zake?
 
Jamani naombeni msaada mwezi huu wafanyakazi wa benki wanalipwa mishahara lini maana huku kitaa hakuna kitu
 
Back
Top Bottom