Mshahara wa Agosti 2019

Mshahara wa Agosti 2019

umetisha mkuu umempa jibu mujarabu,kwa hiyo kazi ninayofanya asubuhi mpaka saa tisa na nusu sitakiwi kuulizia mal;ipo yangu kweli
Pengine anahisi mshahara labda ni zawadi kutoka kwa mwajiri, wakati ni haki yako kulipwa baada ya kutumikia Kama sisi raia tulivyo na wajibu wa kulipa kodi na kuilinda amani yetu tuliyonayo.
 
Ungekua na mradi unaokuingizia japo 30 kwa siku usingeulizia salary mda huu
Mbona tupo humu salary kwa siku ni zaidi ya hiyo 30,000/= unayoiona nyingi, na bado tunaulizia kama imeshaingia? Tatizo wafanyabiashara ndogo ndogo mnapenda kuvamia uzi wa watumishi wa umma, halafu mnadhani mna kipato kikubwa zaidi
 
wajasiliamali wadogo wana roho mbaya sana kaka watu tume invest time yetu shuleni acheni na sisi tuulizie haki yetu si nimefanya kazi mpaka muda huu niko ofisini
 
Mbona tupo humu salary kwa siku ni zaidi ya hiyo 30,000/= unayoiona nyingi, na bado tunaulizia kama imeshaingia? Tatizo wafanyabiashara ndogo ndogo mnapenda kuvamia uzi wa watumishi wa umma, halafu mnadhani mna kipato kikubwa zaidi
point taken kaka
 
wajasiliamali wadogo wana roho mbaya sana kaka watu tume invest time yetu shuleni acheni na sisi tuulizie haki yetu si nimefanya kazi mpaka muda huu niko ofisini
Halafu wanasahau kwamba wateja wao wengi ni hao wanaowacheka kusubiri mishahara mwisho wa mwezi.
 
Mbona tupo humu salary kwa siku ni zaidi ya hiyo 30,000/= unayoiona nyingi, na bado tunaulizia kama imeshaingia? Tatizo wafanyabiashara ndogo ndogo mnapenda kuvamia uzi wa watumishi wa umma, halafu mnadhani mna kipato kikubwa zaidi
Haha haha bora mi muuza nyanya ngogwe karoti nyie watumishi wa umma mnalialia njaa sana afu nawadai pesa zangu mkipata hamkawii kubadili njia
 
Back
Top Bottom