Mshahara wa Agosti 2019

Mshahara wa Agosti 2019

Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
Maisha ya kutegemea mshahara ukichelewa , unaweza kumuuliza hata ambaye hana ajira kuwa vipi umetoka ?
 
Haya
IMG-20190822-WA0019.jpeg
 
Naona mwezi huu mko vizuri hamkuushambulia sana huu Uzi....haya mkalipe madeni sasa..weekend safi.
 
Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
Mpe tu
 
Back
Top Bottom