Mshahara wa Agosti 2019

Mshahara wa Agosti 2019

Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
Usidharau Mwalimu utapata laana!
 
ooohoooooo kitu tayari da ni noma mazee nimemaliza mkopo benk mshahara nauona kama magu katuongezea ha ha ha ha ha ila ngoja niingie tena NMB nikavute mpunga mwingine ninunue crown tamuuu
 
ooohoooooo kitu tayari da ni noma mazee nimemaliza mkopo benk mshahara nauona kama magu katuongezea ha ha ha ha ha ila ngoja niingie tena NMB nikavute mpunga mwingine ninunue crown tamuuu
DAH NJOO PM BAS tuyajenge mama we unafaa kujenga maisha pamoja
 
Back
Top Bottom