Mshahara wa Agosti 2019

Mshahara wa Agosti 2019

Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.

Mwezi wa 8 Hadi wa Tisa.. utakua ushapata nAmna zingine..
 
Kuna jamaa yangu hapa ni mhandisi tena mkuu wa idara halmashauri ameenda kukopa mtaani ikabidi akabidhi kadi..yaani ni aibu tupu anaenda bar anakunywa kwa mkopo..sio walimu tu yaani utumishi wa umma ni shidaaaaaa!!
Watumishi wengi wapo hivyo ila walimu wanaongoza
 
Back
Top Bottom