Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Ukijiajiri, hutakuja kuajiri wengine? Hao utawalipa nini kama sio mshahara?Mwanaume utakubalije kushikiwa mshahara wako mpaka mwisho wa mwezi ilhali una masters yako mkononi pambana jiongeze tumia maarifa jiajiri usiogope siku zote penye maono pana mafanikio![]()
Labda kazi zote utazifanya mwenyewe. Kumbuka hata changu kaajiri msichana wa kazi