Mshahara wa Agosti 2019

Mshahara wa Agosti 2019

Haki ya Mungu watumishi tuna hali mbaya! HApa kibaruani kwangu wametenga bajeti ya chai ya Staff, majani chai, sukari, jiko vipo kimbembe ni vitafunwa maana kila mtu inabidi ajinunulie...tarehe 25 hadi 15 ya mwezi meza za tea room zinachafuka....tarehe nyingine watu wapo "bize" sana hakuna muda wa kunywa chai! Na bado mtu anaanzisha uzi humu akiuliza kwanini majeruhi wa ajali ya moto waliopelekwa Muhimbili karibia 80% wamekufa!
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Mkuu tayari NMB nimeona watu wameanza miminika,kachukue chako
 
Mtoa mada amezungumzia mshahara Wa watu jamii ya bakhresa?
Nampa mfano tu kwamba kufanya shughuli zako hakumaanishi usiwe na mshahara.

Najua jamii zetu hizi hawajui kwamba hata akiwa na biashara ndogo kiasi gani lazima ajipangie mshahara. Labda ni somo la siku nyingine.
 
Back
Top Bottom