Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
We jamaa una akili sana 


Hahahahaa Hahahahaa dahNMB wamechomoa betri,salar had tar 45 august
Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
Mkuu hapo umetumia tuu tafsida ungeuliza moja kwa moja kama umetoka au laMkuu, soma thread vuzuri
Jirani yako ndio unamkopesha kwa riba?Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
kwani shule ya kata sio watumishi au kuna salary scale ya walimu wa shule za kata?Hiyo itakuwa shule ya kata
Watumishi ikataeni CCM inawakandamiza,hakuna ongezeko wala kulipwa stahiki zenu kama zamani
Nilichukua uamuzi wa kumpatia nusu . Hii ni kutokana na taarifa zenu kuwa kumbe bado haujatoka.Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
Nilichukua uamuzi wa kumpatia nusu . Hii ni kutokana na taarifa zenu kuwa kumbe bado haujatoka.
Hahaaaa mkuu wewe noma sana, umefulia unatafuta habari kijanja.Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
lingetengwa jukwaa maalum kwaajili ya wanaopokea mshahara tu, maana sisi tuliopo mtaani tuna Jukwaa letu la ajira piaKila mwezi lazima nione thread ya mshahara
Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/=
Mkuu uzi ama jukwaa?Ungetengwa Uzi maalum kwaajili ya wanaopokea mshahara tu, maana sisi tuliopo mtaani tuna Uzi wetu Wa ajira pia
Asante, jukwaaMkuu uzi ama jukwaa?