sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
tungechagua chadema tungekuwa somalia.mliichagua wenyewe ccm goja mkome
tungechagua chadema tungekuwa somalia.mliichagua wenyewe ccm goja mkome
Mtoa Uzi nadhani ametoa maoni yake kuwa kuwe na tar. Fixed ya kutoa mishahara, kama ni tar 30 iwe ni 30 na kama ni 23 iwe 23 mimi nimemuelewa hivyoMwezi haujaisha walalamike ikifika tarehe 1 September kama watakuwa bado hawajalipwa.
Wee Katavi, ukilipwa Julai 22 halafu ukaja kulipwa August 31, hizo siku ni zaidi ya mwezi mmoja. Ndio msingi wa hoja ya mleta mada. Heri Ulipe tarehe 30 hadi 30 ya mwezi unaofuata, kuliko 22 halafu unakuja kulipa 30.Mwezi haujaisha walalamike ikifika tarehe 1 September kama watakuwa bado hawajalipwa.
Una akili ya kipuuzi sana wewe wanaanza kuhesabu kuanzia tarehe waliopata ukihesabu inakuwa 32Mwezi haujaisha walalamike ikifika tarehe 1 September kama watakuwa bado hawajalipwa.
Tunaisoma namba!!Baada ya serikali katika miezi iliyopita kujaribu kulipa mishahara tarehe 22/23 ya kila mwezi,sasa inaonekana ilikuwa nguvu ya soda.
Watumishi wa umma wamesikika wakitaka serikali iwalipe kwa tarehe hizo hizo hasa ukichukulia wanavyonyanyasika tangu iingue madàrakani
Nan kakudanganya labda leo ndio watoeWaliopata mshahara ni jeshi la polisi tu...
Nitake radhi tafadhali, mimi sio mpuuzi.Una akili ya kipuuzi sana wewe wanaanza kuhesabu kuanzia tarehe waliopata ukihesabu inakuwa 32
Hilo neno 'kama' linadhihirisha huna uhakika, lakini ajabu yake ukaendelea kuweka hitimisho!Tarehe rasmi ni ipi?
Kama ni tarehe 25 ya kila mwezi mbona bado? Tusichanganye madesa kama tarehe 25 iliangukia Jumapili hivyo watumishi wakalipwa tarehe 23 siku ya Ijumaa!
Kiswahili wakati mwingine ni kigumu kuliko kimatumbi!Hilo neno 'kama' linadhihirisha huna uhakika, lakini ajabu yake ukaendelea kuweka hitimisho!
kuna jamaa anaongea kwa unyonge humu,dah,anasema.....sijui watatuongezea mshahara,nina hamu naoo.......afadhari na nyinyi bado nilifikiri ni mimi peke yangu nimechanganywa na watumishi hewana maisha lazima yasonge
ha ha ha usijipe moyo unawezekana umechanganywakuna jamaa anaongea kwa unyonge humu,dah,anasema.....sijui watatuongezea mshahara,nina hamu naoo.......afadhari na nyinyi bado nilifikiri ni mimi peke yangu nimechanganywa na watumishi hewa
Mh,tawi la wapi hilo?mbona uku niliko kuko empty?Niko hapa tawi la nmb naona kuna kila dalili ya shimo kutema kwani foleni ni kubwa kidogo
mh,mkuu acheni roho mbaya,ebu toeni hilo boom,hili huyu mpangaji wangu anilipe changu!hazina pakavu tunatafuta benk ya kukopa mana jamaa kila kikao anatangaza ubabe anyooshe mkono kama kuna mfanyabiashara alinichangia mimi.