DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
Ubachela una raha na tabu zake. Hii ndo raha ya kuwa bachela mkuu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nimecheka sana kwani huna mke na watoto??
Ubachela una raha na tabu zake. Hii ndo raha ya kuwa bachela mkuu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nimecheka sana kwani huna mke na watoto??
ahahaha,zikoje?Hizi nyumba za urithi hizi lol
dah,jf is a stress remover!Ubachela una raha na tabu zake. Hii ndo raha ya kuwa bachela mkuu.
nipe siri ya mafanikio yako!Ubachela una raha na tabu zake. Hii ndo raha ya kuwa bachela mkuu.
hivi,hauwezi jenga hoja pasipo kumkashifu mtu?Ndicho mlichobakiza waosha viatu wa ufipa
ahahaha!pole mkuuNamkimbia mazahousi hadi sasa sijarudi home na simu nimezima. Nikirudi nanyatia ndani halafu kesho alfajiri mwendo mdundo.
duh,matusi ya nini?Wewe lazima ni mchawi
dah,hongera yao!Waliopata mshahara ni jeshi la polisi tu...
okey,kwanini wao?Waulize watu wa star tv
majanga hayo!mbona mbali sana!?Utachelewa chelewa, hela zimeelekezwa kwenye mazoezi ya askari wetu wapendwa.... Tuvumilie
subira yavuta heri!ila mbali!Bado hadi tar.26 according to waziri kailuki.
Umetumaje hii meseji kama simu umezima?Namkimbia mazahousi hadi sasa sijarudi home na simu nimezima. Nikirudi nanyatia ndani halafu kesho alfajiri mwendo mdundo.
Baada ya serikali katika miezi iliyopita kujaribu kulipa mishahara tarehe 22/23 ya kila mwezi,sasa inaonekana ilikuwa nguvu ya soda.
Watumishi wa umma wamesikika wakitaka serikali iwalipe kwa tarehe hizo hizo hasa ukichukulia wanavyonyanyasika tangu iingue madàrakani