iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,934
Uliishia darasa la ngapi? Nimekuuliza hazina imekauka? Tumemsikia kimei na watu wa bandari wanasema uchumi uko chini ya uvunguSema hayo tarehe 26 au 27!
Uliishia darasa la ngapi? Nimekuuliza hazina imekauka? Tumemsikia kimei na watu wa bandari wanasema uchumi uko chini ya uvunguSema hayo tarehe 26 au 27!
Baada ya serikali katika miezi iliyopita kujaribu kulipa mishahara tarehe 22/23 ya kila mwezi,sasa inaonekana ilikuwa nguvu ya soda.
Watumishi wa umma wamesikika wakitaka serikali iwalipe kwa tarehe hizo hizo hasa ukichukulia wanavyonyanyasika tangu iingue madàrakani
Nimeishia PhD. Una lingine?Uliishia darasa la ngapi? Nimekuuliza hazina imekauka? Tumemsikia kimei na watu wa bandari wanasema uchumi uko chini ya uvungu
tarehe 22 hadi 22 si mwezi?Daah, mshahara wa mwisho wa mwezi ulipwe tarehe 22? Anyway mazoea hujenga tabia. Lakini tusubiri tarehe 30
Baada ya serikali katika miezi iliyopita kujaribu kulipa mishahara tarehe 22/23 ya kila mwezi,sasa inaonekana ilikuwa nguvu ya soda.
Watumishi wa umma wamesikika wakitaka serikali iwalipe kwa tarehe hizo hizo hasa ukichukulia wanavyonyanyasika tangu iingue madàrakani
mkuu,hata sijui!tusubirie wajuvi!Vipi bado tu wakuu
me nangojea hilo li-increment la mwezi huu manake uhakiki umeisha...hata wakichelewesha ntapunguza machungu kwenye increment...halafu nadhani nitakuwa promoted this month..I'm going to pocket handsome package..Baada ya serikali katika miezi iliyopita kujaribu kulipa mishahara tarehe 22/23 ya kila mwezi,sasa inaonekana ilikuwa nguvu ya soda.
Watumishi wa umma wamesikika wakitaka serikali iwalipe kwa tarehe hizo hizo hasa ukichukulia wanavyonyanyasika tangu iingue madàrakani
sijui mkuu ila yawezekana.....lkn si wametangaza wamekusanya trillioni ngap vile miezi ilopita???...Hii haina uhusiano na kupungua kwa mapato ya serikali? I am just thinking aloud
are you serious?Sasa Hivi mishahara ni Tarehe 30 hahahahahahah
Kweli wewe ni iparamasa,hilo jina kwa kikwetu ni bonge la tusiBaada ya serikali katika miezi iliyopita kujaribu kulipa mishahara tarehe 22/23 ya kila mwezi,sasa inaonekana ilikuwa nguvu ya soda.
Watumishi wa umma wamesikika wakitaka serikali iwalipe kwa tarehe hizo hizo hasa ukichukulia wanavyonyanyasika tangu iingue madàrakani
Mtoa mada hajielewi, mshahara gani wa tar 22/23? Hawa vijana wa BAVICHA zero kabisa, wanapenda sana kutungatunga mamboTarehe rasmi ni ipi?
Kama ni tarehe 25 ya kila mwezi mbona bado? Tusichanganye madesa kama tarehe 25 iliangukia Jumapili hivyo watumishi wakalipwa tarehe 23 siku ya Ijumaa!
Unafanya kazi serikalini? Umekosa kulipwa mshahara? Uongo, unafiki na uchonganishi achaHela zimeisha hazina? Mbona maneno mengi?
duh,mkuu wakikupa cha juu,unitoe na mieCjui watatuongezea mshahara mwezi huu daaahh ninahamu nao
Haahaahaaa poa mkuuduh,mkuu wakikupa cha juu,unitoe na mie
Akakope kwa wenye nazo! pesa zote wamepeleka kwenye mazoezi ya polisi kutisha polisi. Kuongoza Nchi siyo mchezo!ndiyo maana yake na we uwe mjanja usiangalie angalie salio
na maisha lazima yasongeAkakope kwa wenye nazo! pesa zote wamepeleka kwenye mazoezi ya polisi kutisha polisi. Kuongoza Nchi siyo mchezo!