Safii asituchosheKapime , kipimo ni 1000tsh tu
Kuna shida gani akiwa mjamzito mkuu?Kuna dogo fulani nilifanya nae sex tarehe 22 mwezi wa pili mwaka huu baada tu ya kutoka period,period yenyewe ilianza tarehe 18, sasa mpaka leo tarehe 20 bado hajaona siku zake, je atakuwa ana ujauzito?
Kwani ulipokuwa unapata utamu sisi tulikuwepo!?Kuna dogo fulani nilifanya nae sex tarehe 22 mwezi wa pili mwaka huu baada tu ya kutoka period,period yenyewe ilianza tarehe 18, sasa mpaka leo tarehe 20 bado hajaona siku zake, je atakuwa ana ujauzito?
Akili zako ndo zimejaa matope. Unaleta mada za kijinga kwenye jukwaa unategemea nini!?badala ya kujibu hoja mnamshambulia mleta hoja. Hiyo akili ama matope?
Basi tembea kifua mbele unaijaza dunia. Wenzako wanatafuta hata watoto wa kusingiziwa hawapatisio mwanafunzi mkuu
diapers ndo nini mkuu! Lugha ya malkia ilinipita kidogo mkuu.Kutokana na changamoto ya uhaba wa maji, miaka ya nyuma, kulikuwa na kisima cha kijiji ambacho kila Mwanakijiji alikuwa anakwenda kujichotea maji ...
Kuwa makini na hilo Mkuu.....
Hongera kuwa Baba Kijacho, kwa mujibu wa bei ya soko, diapers inauzwa shilingi 500 kwa moja, ama shilingi 5,000 dozen
Sema KimeumanaKuna dogo fulani nilifanya nae sex tarehe 22 mwezi wa pili mwaka huu baada tu ya kutoka period,period yenyewe ilianza tarehe 18, sasa mpaka leo tarehe 20 bado hajaona siku zake, je atakuwa ana ujauzito?