Mshahara Umeshatoka?

Mshahara Umeshatoka?

Na hivi mkuu ashawaruhusu watu kufyatua...huko ndani ya pembe nne za UKUTA hakitaeleweka.. Hebu wapeni kilicho chao
 
Sisi tunawaza kuwangusha ukuta halafu unakuja na gia ya mshahara hapa,tena wewe.
 
Kiukweli maisha hayana ratha kabisa. Maisha magum sana. Mshahara ni shida ukichelewa
 
Hii nchi ya ajabu sana,yaani toka tar 22 mwezi uliopita walishindwa kurekebisha matatizo yao mpaka watuumize namna hii,sijui nikashtaki wapi
 
WAMEWEKA ILA HAKUNA BADILIKO LOLOTE OVER.
 
Back
Top Bottom