Mshahara Serikalini umekuwa wa Mgao, tunakwenda wapi?

Hofu-less

JF-Expert Member
May 19, 2014
520
1,031
Inakuwaje Hadi Leo Kuna watu hawajapata mshahara wao? Inakuwaje mshahara unatoka Kwa mafungu? Angalu basi ingetofautiana dakika na masaa tu lakini sio sawa wengine Toka tar 22 wamepata mshahara na wengine Hadi Leo Kimya.

Mwigulu hebu jitafakari
 
Inakuwaje Hadi Leo Kuna watu hawajapata mshahara wao? Inakuwaje mshahara unatoka Kwa mafungu? Angalu basi ingetofautiana dakika na masaa tu lakini sio sawa wengine Toka tar 22 wamepata mshahara na wengine Hadi Leo Kimya..

Mwigulu hebu jitafakari
Mi mpaka nimekasirika,siutaki tena,ntaanza kuchukua kuanzia mwezi ujao waendelee tu kukaa nao...
 
Kapu kuu linakusanya na kwamba tarakimu zipo ila uhalisia ni NIL bora jiwe alikopa kwa kificho na hatukuwa na maumivu ya namna hii kilo za maharage elfu 3500, mchele 3000, unga 2500 na bado haijafika januari hadi Mach, 2023 moto ni mkali sana wakuu. TRA wanavunia mifukoni mwao hakika hali siyo nzuri na pesa haipo ktk mzunguko mzuri watu wanaweka pesa ndani
 
Huenda ni mistake za kiufundi kwenye uwasilishaji taarifa za taasisi husika.
Pesa zipo za kutosha mbona, acheni kumpa mama mzigo .
Samia kila mwezi huwa anatulipa tar 21 na 22. Ikichelewa sana ni tar 23.
Kumbe ni tar 21-22 yeye analalamika leo tar 24...huku kwetu system inaonesha wote mmeshalipwa.
 
Inakuwaje Hadi Leo Kuna watu hawajapata mshahara wao? Inakuwaje mshahara unatoka Kwa mafungu? Angalu basi ingetofautiana dakika na masaa tu lakini sio sawa wengine Toka tar 22 wamepata mshahara na wengine Hadi Leo Kimya.

Mwigulu hebu jitafakari
serikalini raha sana tar 22 unalipwa mshahara? Private sector ni mpaka siku ya mwisho ya mwezi na wakati mwingine mpaka tarehe 35 au 40
 
Back
Top Bottom