Msg from 4238770736.

Msg from 4238770736.

Slave

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
5,313
Reaction score
2,654
Msg inasema"we have an important msg for you to know it call this number 004238770736 free. Shida yangu nahitaji kujua hizo namba za nchi gani? Na vodacom nao wana share na hao?
 
Nigeria 419 fraud achana nao wapigaji tu hao
Msg inasema"we have an important msg for you to know it call this number 004238770736 free. Shida yangu nahitaji kujua hizo namba za nchi gani? Na vodacom nao wana share na hao?
 
hata mm niliipata!ila sikuhangaika!manake najua watanizingua tuu!kuambiwa umeshinda Lottery wakat hujawah kucheza!
 
halafu ukipiga sio free kama wanavyodai.naona ni staili mpya ya kuibiwa.
 
Nigeria 419 fraud achana nao wapigaji tu hao

sina shaka kabisa kwamba hao ni wapigaji tabu yangu ni jinsi tcrs walivyo tuhamasishaga ku sajili namba zetu ili kuzuia uhalifu.sasa huu sio uhalifu?
 
Inaonesha vodacom wanahusika maana ni watumiaji wengi wa voda ndo waliyopata msg hii.
 
sina shaka kabisa kwamba hao ni wapigaji tabu yangu ni jinsi tcrs walivyo tuhamasishaga ku sajili namba zetu ili kuzuia uhalifu.sasa huu sio uhalifu?

tcra wanahusika tanzania, hiyo number si ya kwetu hapa tz
 
tcra wanahusika tanzania, hiyo number si ya kwetu hapa tz
nimekupata kiongozi.je? kama wana jamiiforums,ndani ya jukwaa la educational,science and technology, hatuwezi kuzua hoja na kujiuliza kwanini msg hizi wametumiwa wateja wa vodacom pekee ?
 
Sorry out of topic jina Lako.....PARACHICHI....nimelipenda.
he!! nsiande umefika mbali wewe.inamaana ume emage parachichi kwa kwa wali maharage au?
 
Mimi nimepata msg kama hiyo sasa hivi wakati nasoma hii thread toka namaba 0023222291099.

Nawapotezea
 
scam watachukua pesa zao at times wengi hadi wanabadili namba sababu ukiweka pesa inaliwa.

pigia operator waombe wakutoe as mara nyingi ukiipiga unakuwa unsubscribe kwenye vitu vyao na wanakua wanaku charge.

jaribu hivyo ukiona bado unaliwa pesa na uweke kidogo kujaribisha

Muhimu kujua huu ni utapeli

ukigoogle

232 is for Sierra Leone

423 is for Liechtenstein

42, Czech Republic
 
TCRA wao wamelala tu nafikiri wakishatoa licence wanarudi kitandani kulala bila kumlinda Mtanzania. Ujue ni ujinga sana TCRA wanafanya hasa katika hizi mobile operators. Nafikiri kuna 10% pengine ndio maana hawa jamaa voda tigo airtel nk. hata hawaogopi TCRA, ni kama jibwa pole. Kiberiti ni sh 50 tu lakini kiwanda cha kiberiti pia ujue kina Mkurugenzi yaani Director General lakini huwapenda walaji na kuhakikisha kiberiti kinakuwa kile kile mpaka uzeeke. Na anaheshima zake katika jamii. Lakini kama utakuwa mkurugenzi TCRA sisi tutajivunia nini watanzania haswa katika swala zima la mobile phone operators;
1. kutuma msg zisizo msingi kwa wateja na kwa idadi hadi kuwa usumbufu/kero kwa mtumiaji .....TCRA kimya
2. Customer care zote --holding up to forever without assistance na TIGO naambiwa huchaji customer care sh 50 per connection ....TCRA kimya
3. Kuchezesha kamari katika simu za mkononi wakati nchi maskini ...TCRA kimya
4. Mawasiliano kuwa si mazuri hasa voda kwa sasa ...TCRA kimya


TCRA igeni basi TBS wameridhia CoC au sijui PVoc ili kumlinda Mtanzania asipate bidhaa kama za mobile operators hapa nchini nyie je mtatulindaje. Nafikiri mobile operators nyie toeni licence na quality of their product ifannye na TBS. Sasa hivi naanza kupata imani nao sana.

Naomba kuwakilisha kero zangu hapa hapa.
Asanteni kwa kunisoma.
 
mbona mm wamenitumia mpaka vocha jamani hata sielewi

vocha kabisa! mh watakuwa wameingia choo cha watoto hao kama ambavyo walivyo wahi jichanganya kwangu walivyo nitumia m-pesa
 
Back
Top Bottom