Msg from 4238770736.

Hiyo msg hata mimi niliipata. Vodacom wanadisclose namba zetu kwa watu wasiohusika
 
Sio vodacom bali wanajua namba za voda nyingi zipo kati .... mpaka ................... basi watuma hizo sms. Labda kwao kipindi hiki wana promo ya sms za bure.




Hiyo msg hata mimi niliipata. Vodacom wanadisclose namba zetu kwa watu wasiohusika
 
Msg inasema"we have an important msg for you to know it call this number 004238770736 free. Shida yangu nahitaji kujua hizo namba za nchi gani? Na vodacom nao wana share na hao?

Hata mimi nilipata jana sikuwajibu. Sasa hivi wametuma nyingine "Congraturations, but if you don't claim your prize immediately it will be given to another person. call free 004238770736" Kazi kwao kama simu ni bure kwa nini wao hawapigi?
 
Kuna jamaa yangu wa VODA kaipata iyo msg nkamwambia aipotezee!
TCRA kazi yenu nini sasa na usumbufu wote wa kusajiri namba?
Alafu kama kuna mdau wa VODA umu waambie VODA ile msg inayohusu TUMA NENO BBC WASHA inatujazia inbox zetu maana daily wanatuma
 
Mimi pia nimeipata sms kama hiyo jana wakati ninatoka kanisani. Nilifikiri maombi yangu yamekubaliwa na Mola na hivyo naweza kuuweka umasikini kwenye historia!
 
Mie pia ni mmoja wa wahanga wa hiyo msg, ila niliipotezea baada ya ndugu yangu wa karibu kuipiga hiyo namba na kuliwa credit yake yote. Wizi mtupu.
 
Hata mimi nimeipata sms .........call this number 004238770736 free, nikawataarifu VODA customer care, wamenielewesha kuwa hao ni matapeli wa kimataifa, kumbe tatizo linafahamika kwa nini hawatoi ktk vyombo vya habari kuelimisha wateja na uma kwa ujumla?
 
Nishatumia sana msg za aina na namba hii !
[h=2]004238770735.[/h] mpaka simu inaisha chagi uzingatia uko kikijini umeme shida sijui niende wapi?kushitaki kesi hii ?
 
[h=2]Msg from 4238770736.[/h]
Nishatumiwa sana msg za aina na namba hii !
004238770735.

mpaka simu inaisha chagi uzingatia uko kikijini umeme shida sijui niende wapi?kushitaki kesi hii ?
 
Kwa kadri nijuavyo mimi Voda lazima wahusike kwahili
Kama kweli ukipiga wanakomba salio lako lote je wataenda wapi ku claim hizo credit kama sio Vodacom?
Mfano ninapokuwa na mchezo wangu napeleka voda na kuomba watakao shiriki wakatwe let say sh 200, basi hapo ujuwe voda watakata hela yao ya msg kama ni sh 40 na commission yao labda sh 30 na kinacho bakia mimi mwenye mchezo itabidi niende Vodacom ku claim kilicho baki katika 200 baada ya Voda kukata yao, na hapa lazima niende Voda kwasababu wao tayari walisha uza vocha na wanayo in terms of money
Sasa hawa jamaa wakikomba credit zako wata claim wapi kupata hizo pesa kama sio Voda
I stand to be corrected
 
voda inahusika.....100000%
tuwakatae watu hawa kwani wameshindwa kulinda customers wao......hiyo ndiyo dawa....
 
Wataalamu wa mahesabu hembu tunaomba mtupe tathmin ya haraka haraka kwa makadilio tu watu wote waliyopiga namba hizo na kuliwa pesa zao.tuone ni kiasi gani hawa jamaa walicho chota kwetu. 2.tutazame namna gani voda ambavyo wanaweza kupatikana na kesi ya kujibu na ikiwezekana basi wapelekwe mahakamani.naamini umasiki tulio nao tz unaweza ukawa unachangiwa na huku kutohoji,ni kwakuwa tu huwa hatuoni uchungu pale unapo ibiwa kiasi kidogo.
 
Kwa kadri nijuavyo mimi Voda lazima wahusike kwahili
Kama kweli ukipiga wanakomba salio lako lote je wataenda wapi ku claim hizo credit kama sio Vodacom?
Mfano ninapokuwa na mchezo wangu napeleka voda na kuomba watakao shiriki wakatwe let say sh 200, basi hapo ujuwe voda watakata hela yao ya msg kama ni sh 40 na commission yao labda sh 30 na kinacho bakia mimi mwenye mchezo itabidi niende Vodacom ku claim kilicho baki katika 200 baada ya Voda kukata yao, na hapa lazima niende Voda kwasababu wao tayari walisha uza vocha na wanayo in terms of money
Sasa hawa jamaa wakikomba credit zako wata claim wapi kupata hizo pesa kama sio Voda
I stand to be corrected

kaka paulss tufanye nini ili kukomesha wizi huu? Kwanini asijitokeze mtz mmoja akawashitaki hawa voda? Ifike mahala tuwe tunakomaa wenyewe kutetea haki zetu na sio kusubiri hawa tcrs.
 
ama kweli tanzania ni kichwa cha chizi!!!! kila mwanafunzi anajifunzia bongo
 
Back
Top Bottom