Msechu (NHC): Natekeleza ilani ya CCM

Hapo nimekuelewa. kwa hiyo imekaa kisheria zaidi? Kwa hiyo hata mbunge kama mch. msigwa hapa iringa anatekeleza sera za chama cha mapinduzi?
Mkuu tunazungumzia Utumishi wa Umma (Public Service) aliko huyo Mchechu i.e Mtu aliyeajiriwa na serikali. Msigwa ni Mwana siasa habanwi na hizo sheria, kanuni na maadili. Hata hivyo kama Manispaa ya Iringa ina madiwani wengi wa CCM kwa kiwango kikubwa atalazimika kutekeleza ilani ya CCM
Ikumbukwe kuwa kukiuka ilani ya Chama kilichopo madarakani inaweza kukugharimu ajira yako na huwezi kukwepa
 
Msechu my hero,

Aliwatumia vijana wa chadema pale UDSM walikusanywa na Dr mkumbo wawape pressure wahindi...

Angalizo vijana wa chadema are very cheap..to organize
Kumbe wewe huwajui vijana. Lakini sio kosa lako, tatizo lipo kwenye kiwango chako cha uelewa.
 
Kipengele ilikua muhimu kukitaja ili tujue kama kweli tafsiri ya hicho kipengele inaendana na mambo yanayofanywa na NHC.
Mfano, kutengeza forms za kutaka kujua rangi ya ngozi ya wapangaji(racial profiling) imeandiakwa kwenye hiyo ilani? Huku tukijua
jinsi waasisi wa taifa letu walipingana na ukaburu kwa kila hali?

Na je serikali ya CCM inayosema haiwezi kupandisha kima cha chini cha mshahara kufikia laki tatu na nusu mpaka kurisk migomo
inapata wapi ujasiri wa kubariki viwango vipya vya kodi anavyopendekeza bwana Mchechu vya laki 5 kwa mwezi? Je sababu kuu
ya uanzishwaji wa NHC inazingatiwaje hapa ya kuwapatia affordable housing wananchi.

Isije kuwa "Natekeleza Ilani ya CCM" ikawa ni tired slogan isiyokuwa na mashiko yeyote.
Hoja ya Lunyungu ilikuwa je ni sahihi kwa Mchechu kusema kwa confidence vile kwamba anataekeleza ilani ya CCM? Ndio maana tukaweka hapa vipengere vinavyomlinda. Kuhusu kifingu alicho nukuu labda kasome ilani ya CCM inapozungumzia kuhusu nyumba za serikali
 
Kipengele ilikua muhimu kukitaja ili tujue kama kweli tafsiri ya hicho kipengele inaendana na mambo yanayofanywa na NHC.
Mfano, kutengeza forms za kutaka kujua rangi ya ngozi ya wapangaji(racial profiling) imeandiakwa kwenye hiyo ilani? Huku tukijua
jinsi waasisi wa taifa letu walipingana na ukaburu kwa kila hali?

Na je serikali ya CCM inayosema haiwezi kupandisha kima cha chini cha mshahara kufikia laki tatu na nusu mpaka kurisk migomo
inapata wapi ujasiri wa kubariki viwango vipya vya kodi anavyopendekeza bwana Mchechu vya laki 5 kwa mwezi? Je sababu kuu
ya uanzishwaji wa NHC inazingatiwaje hapa ya kuwapatia affordable housing wananchi.

Isije kuwa "Natekeleza Ilani ya CCM" ikawa ni tired slogan isiyokuwa na mashiko yeyote.
It's more affirmative action than racial profiling.
Ukizungumzia income, nyumba nyingi za NHC zinakaliwa na watu wenye uwezo wa kujenga nyumba, au kupata mkopo wa nyumba.
Something definately need to be changed.
 
Ametaja kipengere husika lakini hajakosea kabisa. Mtumishi yeyote wa serikali anatekeleza sera na ilani ya chama kilichopo madarakani. Hii ni kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma na Code of Ethics and Conduct for Public Service chini ya kipengere kinachohusu "Loyalty to the Government" subsections:
1. Public Servants shall be loyal to the duly constituted government of the day
2 " Public servant shall therefore implement policies and lawful instructions given by their Ministers and other government leaders"Ndio maana serikali inapochemsha watu wanakilaumu Chama cha Mapinduzi

Sioni "thanks" button ningeigonga. Asante kwa kunifunza
 
Sasa kama hivyo huko NHC si lazima uwe na kadi yao ndiyo upate kazi na huduma zingine kwa mwendo huu ?
NHC ni shirika la serikali, unataka kusema wafanyakazi wote wa serikali (wanaotekeleza ilani ya CCM) wana kadi? Hata Mwalimu Joseph Kashindye aliyegombea Igunga alikuwa anatekeleza ilani ya CCM kwa miaka yote, hata Mabere Marando ambaye hajapata kuwa mwana CCM maishani mwake alikuwa anatekeleza sera za CCM. Hiyo ndio Public Service, inataka uwe Non-Partisan unatumikia serikali ya Chama chochote
 
hapo kwenye red anaitwa Mchechu sio Msechu, msechu ni mwanamuziki aliyeshiriki Tusker firm. kuhusu yeye kutekelezwa ilani ya ccm hiyo ni kweli kabisa kwani kwa mujibu wa kanuni na taratibu za utumishi wa umma; watumishi wa umma watatekeleza sera, mipango na mikakati ya serikali ilyopo madarakani. nafikiri kila mtu anajua wazi kwamba serikali iliyopo madarakani ni ya chama cha mapinduzi, ambayo ina ilani yake ya uchaguzi, ndani ya ilani hiyo tukapata mipango mbalimbali, na kwenye mipango hiyo tukapata mikakati mabalimbali ambayo inatekelezwa katika nyanja mbalimbali. upo hapo mkuu?
Mbona ilani hiyo hiyo iliahidi mahakama ya kadhi, nina anatakiwa kutekeleza? au nisehemu gani ya utumishi wa uma ulipewa jukumu la utekelezaji?
 
Hapana, yeye kama mtumishi wa shirika la umma anatakiwa atekeleze sheria iliyounda shirika lile, siyo ilnani ya chama au tamko la kiongozi yeyote aliyeko madarakani. Ilani ya CCM haijawa sheria ya nchi na wala haitambuliki kisheria. Ni muhimu kwa CCM kupeleka ile ilani yao bungeni, kwa vile ni wengi waipitishe kuwa kitu kama "Sheria ya Mweleko wa Taifa kwa Kipindi cha 2011 hadi 2015", hapo ndipo vyombo vingine vya umma vitakapotakiwa kuifuata kwa mujibu wa sheria, na vinapoifuata havisemi kuwa vinafuata ilani ya CCM bali vitakuwa vinatekeleza sheria iliyopitisha na bunge kutokana na ilani hiyo.
Mkuu naona hujui unazungumza nini? Hivi kwenye sheria iliyounda shirika la nyumba inazungumzia kuwa kwamba watapitia upya utaratibu wa kupangisha? Ilani ya Chama kwa wakati husika ndio inayoweza kusema nini kifanyike kwenye sekta husika na nini kisifanyike. Unataka kusema Ununuzi wa Meli mpya ziwa Victoria upo kwenye sheria iliyounda mamlaka ya bandari? UUzaji wa nyumba za serikali umo kwenye seria iliyoanzisha NHC au ilikuwa ilani ya Chama? Ubinafsishaji, ujenzi washule za kata, ujenzi wa barabara n.k ni vitu gani kama sio ilani? Kinachofanyika Bunge linapitisha tu bajeti ambayo inatekelezwa na watumishi wa serikali.
 
It's more affirmative action than racial profiling.
Ukizungumzia income, nyumba nyingi za NHC zinakaliwa na watu wenye uwezo wa kujenga nyumba, au kupata mkopo wa nyumba.
Something definately need to be changed.

Nakubaliana nawewe kwamba something definetely need to be changed.

Lakini kwa kuprofile race does it mean NHC wanataka kuintroduce quota system hata kwenye upangishaji wa nyumba zao?
au labda what is the significance of such an exercise?

Sijui umetafakari the wider implication ya kila landlord akiamua kuprofile wapangaji wake kwa kutumia race, kabila, dini mwisho
wake utakuwaje?

Halafu sijaelewa kwa kupandisha bei ya pango by over 300% kunawezaje kuchukuliwa kama ni affirmative action, maana kwa
ninavyoelewa affirmative action inatumika kuwanyanyua(kuwabeba) wale waliokua disadvantaged historically.

Nitashkuru ukiweza kufafanua zaidi.
 
Mkuu tunazungumzia Utumishi wa Umma (Public Service) aliko huyo Mchechu i.e Mtu aliyeajiriwa na serikali. Msigwa ni Mwana siasa habanwi na hizo sheria, kanuni na maadili. Hata hivyo kama Manispaa ya Iringa ina madiwani wengi wa CCM kwa kiwango kikubwa atalazimika kutekeleza ilani ya CCM
Ikumbukwe kuwa kukiuka ilani ya Chama kilichopo madarakani inaweza kukugharimu ajira yako na huwezi kukwepa
Nilikuwa namaanisha hivyo kwa sababu meya ni ccm madiwani karibu 10 ni ccm kasoro diwani mmoja na mbunge wa viti maalumu bi chiku abwao.
kama ni masuala ya maji, elimu,michezo,afya nk utatekelezwa kutoka serikali inayoongoza ambayo serikali hiyo hutekeleza ILANI YA CHAMA CHAKE.
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Gerald(kapteni) nakumbuka siku ile pale DODOMA nhc walikuwa wanazindua nyumba na waziri mkuu alisema analishukuru shirika la nyumba kwa kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi.
 
Gerald(kapteni) nakumbuka siku ile pale DODOMA nhc walikuwa wanazindua nyumba na waziri mkuu alisema analishukuru shirika la nyumba kwa kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi.
Yes ilani kwa mfano inaweza kusema serikali ya awamu ya nne itajenga nyumba za Mawaziri wote, NHC watakuwa hawana choice ila kutekeleza ilani hiyo
 
Nafasi yake ni presidential Post na alichokisema vinarandana haina shaka ila jamaa namkubali sana anafanya kazi kweli kweli.
Licha ya kuwa Presidential post Mwajiri Mkuu ni Rais anayetokana na Chama cha siasa. Mtumishi yeyote na taasisi yoyote ya Umma inatekeleza sera za chama tawala. Kama hupendi unajiondoa mpaka Chama unachokipenda kitakapoingia madarakani,
 
Nafasi yake ni presidential Post na alichokisema vinarandana haina shaka ila jamaa namkubali sana anafanya kazi kweli kweli.

Unamkubali Unamkubali ndio nini? Amefanya kazi gani ya wewe kumkubali. Weka mifano tuchambue sio tu kusema plainly kuwa unamkubali
 
Kipengele ilikua muhimu kukitaja ili tujue kama kweli tafsiri ya hicho kipengele inaendana na mambo yanayofanywa na NHC.
Mfano, kutengeza forms za kutaka kujua rangi ya ngozi ya wapangaji(racial profiling) imeandiakwa kwenye hiyo ilani? Huku tukijua
jinsi waasisi wa taifa letu walipingana na ukaburu kwa kila hali?

Na je serikali ya CCM inayosema haiwezi kupandisha kima cha chini cha mshahara kufikia laki tatu na nusu mpaka kurisk migomo
inapata wapi ujasiri wa kubariki viwango vipya vya kodi anavyopendekeza bwana Mchechu vya laki 5 kwa mwezi? Je sababu kuu
ya uanzishwaji wa NHC inazingatiwaje hapa ya kuwapatia affordable housing wananchi.


Isije kuwa "Natekeleza Ilani ya CCM" ikawa ni tired slogan isiyokuwa na mashiko yeyote.
Hapo ndio ilani ya CCM inapokuwa toilet paper sasa!! good for shit!! and toilet is where it belong.
 
Nakubaliana nawewe kwamba something definetely need to be changed.

Lakini kwa kuprofile race does it mean NHC wanataka kuintroduce quota system hata kwenye upangishaji wa nyumba zao?
au labda what is the significance of such an exercise?

Sijui umetafakari the wider implication ya kila landlord akiamua kuprofile wapangaji wake kwa kutumia race, kabila, dini mwisho
wake utakuwaje?

Halafu sijaelewa kwa kupandisha bei ya pango by over 300% kunawezaje kuchukuliwa kama ni affirmative action, maana kwa
ninavyoelewa affirmative action inatumika kuwanyanyua(kuwabeba) wale waliokua disadvantaged historically.

Nitashkuru ukiweza kufafanua zaidi.

So those indians and arabs flocking in NHc houses are disadvanteged historicaly? If I remember well during colonial rule blacks were categorised as forth class,first being europeans,second arabs and third indians,who derseve better now?
 
Back
Top Bottom