Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,877
- 37,676
Khaaaa kweli chawa uko vzrUsiiachie nafasi hiyo hakikisha mama mtumishi hachomoki hapo![]()
Upewe maua yako🎊🎉💃🤣
Khaaaa kweli chawa uko vzrUsiiachie nafasi hiyo hakikisha mama mtumishi hachomoki hapo![]()
nimecheka 🙌🤣🤣🤣khaaaSasa tutagawa nyuchi kwa wangapi lazima kiasi kiwepo.
Mwanamke wa mithali ss ni tofauti,ye hajisexishi
Sie hatuna makuu Kila kitu tunasema , ndiyo baba.....
Mambo mengine inside hatuonneshi hadharani,au humsikilizi,Rose shaboka wewe![]()



mm kapuku tu, sema strength yangu napenda sana kujali kina mama


nimechekakhaaa

Wanaoomba nyuchi wapo kirundo na mwanamke bila kuwa makini utashangaa umetoka na timu za mpira za mafungu.Ngoja tuhame
Tunaharibu Uzi wa watu![]()

Nimekuelewa Kaka Mkubwa, sa hivi nimekua.Sasa hivi naona umekua mtulivu sana, safi. Unapaswa kuwa hivyo siku zote
🤣HapanaSio kweli
Rose anazingua sometimes na mahubiri yake.
Wewe hata ukiwa wa wimbo ulio bora, kikubwa hilo fungu la kumi lipatikane na mgawo nipate
KwakweliWanaoomba nyuchi wapo kirundo na mwanamke bila kuwa makini utashangaa umetoka na timu za mpira za mafungu.
Mama mchungaji nna mengi sana ya kuongea nae, ana vitu vingi vizuri

Ngoja kwanza nimalize huduma hukuNendeni pm hapa wanga wengi
Make sure mgawo naupata kwa wakati![]()
Khaaaa kweli chawa uko vzr
Upewe maua yako![]()



Ngoja kwanza nimalize huduma huku
Kuanzia j3 nakuwa freee


True, media ni "Roman Circus" inatuzubaisha tuu.Serikali inatumia nguvu nyingi sana na pesa nyingi kuwalipa hawa watu Maarufu ya kututoa kwenye reli kudiskasi haswa Kwenye mambo ya msingi ya hii nchi!!!
Kumbe Ruby naye pisi kali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbona majizo ana demu pisi kali Lulu, inakuaje tena atake mzigo kwa Ruby, au ndiyo ile kuwa na hela ndiyo utake kupitia kila pisi kali inayokatiza mbele zako?