Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Ukimsikiliza Ruby clip yake anaongelea tangu enzi za Nyuki Djs,hapo lulu bado anarukaruka na Kanumba,,huyu Ruby asitafute mchawi,mchawi ni mdomo wake....Pale Kwa Nandy ilikuwa nafasi yake ila mdomooooo sijui hajapita mkoleni yule mtoto
Masupasta wa bongo akili zao wanazijua wenyewe,saa hizi wanamvizia bwana wa Hamissa
NilIkaa siku Moja sehemu Kuna kaka ni jirani Yao na Ruby alikua anamuongelea,yule demu ni jeuri pro max ,dharau za kihaya zile pale zimelala na kuamka ,kibri na jeuri Hana mfano yaani,halafu hajali Wala Nini
Sishangai Kwa hili lililomkuta
 
Lulu mzuri ushamdinya?? Je kama ni fuko la rambo
demu yeyote mzuri hata kama ni fuko la rambo unaridhika tu na huo uzuri wake. Kuna mademu ni wabaya sura hazina mvuto mashine zao ni nzuri zinabana, ukimaliza kuchakata tu hutaki kurudia tena na unajutia imekuaje mpaka umchakate? Kumbe ilikuwa ni pozeo tu
 
NilIkaa siku Moja sehemu Kuna kaka ni jirani Yao na Ruby alikua anamuongelea,yule demu ni jeuri pro max ,dharau za kihaya zile pale zimelala na kuamka ,kibri na jeuri Hana mfano yaani,halafu hajali Wala Nini
Sishangai Kwa hili lililomkuta
Kibri hakijawahi msaidia mtu....yule Ruby hakuwa wa kupigwa gape na Nandy....ila kibri,dharau na jeuri na ujuaji ndio zimemfikisha pale.... sometimes u need humbleness uweze fikia ndoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom