Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,073
Nimekuwa nikifatilia baadhi ya show anazofanya msanii RayVany kwenye show zake hasa za Wasafi festival!
Kusema ukweli ni msanii ambaye amekuwa akiwekeza sana kwenye show hizi sana sana hata kushinda Diamond mwenyewe na amekuwa akiwahamasisha wengi kufanya uwekezaji!
Lakini mara nyingi inasemwa uwekezaji mzuri ni ule unao onesha kulipa au ambao utalipa baadae kidogo….Ukweli ni kwamba Tamasha la wasafi haliwezi kumzalia matunda ya uwekezaji anaofanya zaidi atakachopata zaidi ni kupata sifa kwenye mitandao tuu basi lakini Wasafi hawawezi rudisha anacho wekeza kwenye maandalizi ya show yake!
Kilichonifanya nione hatumii akili ni kitendo chake cha hivi karibuni kuanza kulalamika kupata hasara kwenye baadhi ya show zake kushindwa kufanyika alivyotaka kwani mahitaji yake yamekuwa makubwa na hayaendani na mazingira…..
Juzi hapa amelalamika kupata hasara zaidi ya Million 70 uko mbeya akitengeneza ziwa la kupitisha boat…
Sasa show ambayo mtu analipwa
Million 4 anawekezaje million 70?
Hizi ni akili za wapi?
Hata kama anaona mbali bado Tamasha hili haliwezi kurejesha million 70 aliyowekeza hapo kama ni kweli!
Investiment anayofanya kwenye hizi show hata Diamond hafanyi kwakuwa mwenzie anatumia akili zaid zaidi kuliko kutafuta sifa tuu…
RayVany uwezekaji anaofanya kwenye hili tamasha angekuwa anaufanya kwenye show anazoalikwa kufanya nje ya nchi kuliko kupoteza hela kwenye matamasha ambayo hayawezi kumrejeshea pesa zake!
Kusema ukweli ni msanii ambaye amekuwa akiwekeza sana kwenye show hizi sana sana hata kushinda Diamond mwenyewe na amekuwa akiwahamasisha wengi kufanya uwekezaji!
Lakini mara nyingi inasemwa uwekezaji mzuri ni ule unao onesha kulipa au ambao utalipa baadae kidogo….Ukweli ni kwamba Tamasha la wasafi haliwezi kumzalia matunda ya uwekezaji anaofanya zaidi atakachopata zaidi ni kupata sifa kwenye mitandao tuu basi lakini Wasafi hawawezi rudisha anacho wekeza kwenye maandalizi ya show yake!
Kilichonifanya nione hatumii akili ni kitendo chake cha hivi karibuni kuanza kulalamika kupata hasara kwenye baadhi ya show zake kushindwa kufanyika alivyotaka kwani mahitaji yake yamekuwa makubwa na hayaendani na mazingira…..
Juzi hapa amelalamika kupata hasara zaidi ya Million 70 uko mbeya akitengeneza ziwa la kupitisha boat…
Sasa show ambayo mtu analipwa
Million 4 anawekezaje million 70?
Hizi ni akili za wapi?
Hata kama anaona mbali bado Tamasha hili haliwezi kurejesha million 70 aliyowekeza hapo kama ni kweli!
Investiment anayofanya kwenye hizi show hata Diamond hafanyi kwakuwa mwenzie anatumia akili zaid zaidi kuliko kutafuta sifa tuu…
RayVany uwezekaji anaofanya kwenye hili tamasha angekuwa anaufanya kwenye show anazoalikwa kufanya nje ya nchi kuliko kupoteza hela kwenye matamasha ambayo hayawezi kumrejeshea pesa zake!