Mapochopocho
Member
- Jan 22, 2012
- 13
- 0
Hongera kamanda. Big up! Peopleeeees!
mkuu nchimbi asahau mwaka 2015, maana amezoea kulangua majimbo!
Hii lazima itakuwa SONGEA MJINI, Nchimbi akae mkao wa kula....kazi anayo hapa!!!
mbona kwenye ccm pia kuna makundi? Una kumbuka kundi la kikwete, mama salma, riz one na hata mohamedi kikwete, hawa hata wakigawa rushwa wao hawakamatwi! Kundi la kina mungai, sitta na mwakalebela na wenzake wanalazimishiwa kesi za rushwa! Ccm sio chama cha kutatua matatizo katika taifa letu, labda kuyaongeza! Kiujumla ccm ni janga kwa taifa letu!Wanachadama wa chadema wanagawanywa kwa makundi.
Ndio maana mtoto wa Wassira pamoja na kuwa hajawahi kufanya jambo lolote la maana lakini anapewa heshima kubwa kuliko Mohamedi Mtoi ambaye ameshajitolea sana kwenye shughuli za chama.
J hajawahi kufanya siasa yoyote, anachotaka ni kugombea Ubunge baada ya kushawishiwa na Sugu.
We kwa upeo wako mdogo unaona hilo ndio jambo la kukufanya uonekane unajitegemea? mbona mkuu wa project ndiye amekuwezesha!! Tatizo lenu jingine mnapenda sana kuuza sura...
Kumbe Clouds ni ya CCM!!!
Sasa harakati ndio zinapamba moto karibu prof jay umefanya maamuzi sahh sana japo umechelewa ila sio issue muda upo.. Karibu songea kumtoa nchimbi tena utamtoa kirahisi sana.. Yani yule ni mwepesi kama kishada.
Wapi mrisho mpoto bado yeye, wazee wa mistari
Kwahiyo sasa hivi CDM ina Maprofesa wa 4, Baregu,Safari, Kulikoyela Kahigi na Profesa J! Hongereni sana makamanda