saudari
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 2,655
- 2,783
vijana wa mr 2 sugu hao
lazima wafuate nyayo zake.
uamuzi mzuri sana.
Ulisikiliza/kusoma hotuba ya jana iliiyowakilishwa na Mr.Sugu?
Ameelezea kinaga ubaga matatizo yanayoikumba tasnia ya muziki na hivyo kuendelea kuwapa mwanga wasanii wengine wenye nia kujiunga na chama makini chenye kupigania wonyonge.
Viva Chadema. You Are Always Shine.