Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Chama unaonekana umekata tamaa!!!! Maana naamini kimoyomoyo unajua jinsi atakavyowakimbiza akipewa nafasi na chama chake kufanya hivyo. Mimi mwenyewe nimeanza kuandaa ushauri wa kuwatumia watu kama Prof Jay kukinufaisha chama, nitaupeleka kwenye chama lakini nitauchuja ule uanoweza kuwekwa wazi nitauleta humu.

Kuhusu Dr Slaa, najua jinsi gani anawatia kiwewe maana mlipanga kumuua mkaogopa mnaweza kuwaisha ukombozi! Sasa nadhani mnalala kwa waganga wa kienyeji labda!!! mkijaribu na uchawi. Juzi aliandika humu kwamba ni mguu kwa mguu kila kijiji mpaka kieleweke. Chezea Daktari weye!

Zile single za kadi 2 kiliishia wapi? Mnampaisha mzee wa watu na kama kawaida yake yeye ni kama M. Satta maana jinsi mnavyompiga majungu ndivyo mnamuongeza ari ya kujenga chama. Alisema baada ya kuulizwa iwapo haoni kama anapunguza nguvu bungeni kwa kuamua kugombea urais, akasema kama nitashindwa kiharali nitaenda kijiji kwa kijiji kujenga chama changu, anatekeleza kwa vitendo sasa. Aruta continua!!!
 
Karibu kamanda Jay ulingoni nawe utuwakilishe ifikapo 2015 ila nitakumiss kule kwenye kona ya muziki
 
[JFMP3] [/JFMP3]
Kwa wale wote wasiomsoma Pro- Jay Tembelea hapo Jizzzzzzzzzzzzzze noma. Kwa kweli CDM WAMELAMBA DUME
 
Nashauri kambi rasmi bungeni immteue Jizze kuwa waziri kivuli wa kivuli cha waziri wa mambo ya nje.
 
Njoo Jimbo la Mikumi Uchukue Ubunge Kirahisi kabisaaaaaaaa...Ila Nakusisitiza Anza Kuongea na Raia wa Ruaha Kwa Ufasaha na Wajue nin Dhamira yako, Hapo Utakuwa umepita!!!
 
Mtu yoyote ambaye sii fisadi na mwenye akili timamu hawezi kuwa ccm
 
CHADEMA itunathamini kipaji cha kila mtu. Tunakitumia kukijenga chama. Endeleeni kubwabwaja sisi tunasonga mbele
 
Angejiunga C.C.M Ningesema Akapimwe Kichwa,hii Ni Kutoka Na Mashairi Ya Nyimbo Zake Hasa Ule Wa Ndiyo Mzee Na Siyo Mzee Ambapo Katika Wimbo Wa Ndiyo Mzee Ameonesha Jinsi Wagombea Wa C.C.M Wanavyowalaghai Wananchi Ambao Katika Wimbo Wa Siyo Mzee Ameonesha Wananchi Kutambua Haki Zao.Prof Jay Anakutaka Hama C.C.M Hamia Aitel Mtandao Wa Uhakika.
 
Back
Top Bottom