Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Hahahahahaha

Acha kumtisha ndugu yangu Mohamedi Mtoi. tatizo la Mtoi ni moja, wakati wa mavuno ya matunda hatukumbuki ndugu yake.

Mohamedi Mtoi yupo radhi alale njaa lakini Dr Slaa apate chakula.
 
Ccm inao wanamziki kama
Komba Vick Kamata hao ni wabunge kuna hawa kina mbasha Malow, Dokii Kuna wamiliki wa bend kama Mudhihiri sasa hawa wanaoenda chadema tusione gere.
 
Wanachadama wa chadema wanagawanywa kwa makundi.

Ndio maana mtoto wa Wassira pamoja na kuwa hajawahi kufanya jambo lolote la maana lakini anapewa heshima kubwa kuliko Mohamedi Mtoi ambaye ameshajitolea sana kwenye shughuli za chama.

J hajawahi kufanya siasa yoyote, anachotaka ni kugombea Ubunge baada ya kushawishiwa na Sugu.

Mkuu ZeMarcopolo
Kuna wakati unapoongea ukweli watu wanakuchukia lakini utafanyaje na ndio hali halisi; kamanda Mohamedi Mtoi anajitolea kwa hali na mali lakini ndio hivyo tena juhudi zake ni bure kama kuna uwezekano angebadili jina na kuchagua linalokwenda sambamba na siasa za Chadema; huo ndio ushauri wangu kwake si vibaya kama atachukuea jina la Lema; Shirima au Lyimo haya yatamfaa sana.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
kweli nchi yetu ina short kubwa sana so unamaanisha kwako P.Didy ni mtu muimu kuliko mtanzania mwenzio?????

Kwa jinsi mnavyomtangaza lazima wengine tuone ajabu na kushangaa; umuhimu wa mtu unatokana na matendo yake kwenye jamii; kuwa mtanzania pekee sio hoja!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu ZeMarcopolo
Kuna wakati unapoongea ukweli watu wanakuchukia lakini utafanyaje na ndio hali halisi; kamanda Mohamedi Mtoi anajitolea kwa hali na mali lakini ndio hivyo tena juhudi zake ni bure kama kuna uwezekano angebadili jina na kuchagua linalokwenda sambamba na siasa za Chadema; huo ndio ushauri wangu kwake si vibaya kama atachukuea jina la Lema; Shirima au Lyimo haya yatamfaa sana.

Chama
Gongo la mboto DSM

Au ajiite Kweka Mtoi au Mallya Mtoi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama,

Jamaa anapewa mapokezi makubwa na wakati wowote atatangazwa kugombea ubunge kisa aliimba wimbo zali la mentali.

Cha kusikitisha watu kama kina Mwita Maranya, hata ukatibu kata hawajampa.

Anakesha JF kumtetea Dr Slaa lakini Prof. Jay hana mchango wowote.

Mkuu Ritz
Njaa kitu kibaya Mwita Maranya ataishia kubeba mikoba; hajulikani hata afanye kitu gani ataishia huko kwenye kata; Togo kuna wenyewe hana jinsi ataishia kutumwa chai na vitafunio; Prof Jay katoa kibao cha kumsifu junior mambo bwerere Mwita Maranya kila siku kuchoma nauli ya daladala kutoka Segerea hamna kitu: mkuu ndio dunia hiyo ukitaka vya rahisi lazima utumike.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
wakuu chama, ZeMarcopolo, na Ritz naona wameamua kuingia front wenyewe ikiwa ni wazi kuwa habari hii imewashtua haswaa! Milango iko wazi wakuu kwenye chama cha wanyonge wenye uelewa wa kuinusuru nchi na majanga
 
Au ajiite Kweka Mtoi au Mallya Mtoi.

Mkuu Ritz
Naona atajiita Mbowe anafukuzia Tanzania Daima walau apate kajinafasi cha kutapika pumba zake; mkuu siku mojamoja kamata nakala ya Tanzania Daima pamoja na kwamba halifai hata kumchambishia mbwa tumpe support jamaa yetu.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama,
Jamaa anapewa mapokezi makubwa na wakati wowote atatangazwa kugombea ubunge kisa aliimba wimbo zali la mentali.
Cha kusikitisha watu kama kina Mwita Maranya, hata ukatibu kata hawajampa.
Anakesha JF kumtetea Dr Slaa lakini Prof. Jay hana mchango wowote.

Wewe gamba Ritz usijaribu kujifananisha na mtu kama mimi ambaye sina njaa kama wewe. Nyie magamba mna tabia za unafiki na kujikomba kwa wakuu wenu wa chama ili mkirimiwe ukuu wa wilaya mnadhani na sisi ni hopeless kama nyie.

Mimi ni mjumbe wa kamati ya utendaji ya wilaya niliyechaguliwa na wanachama, wakati wewe hata ubalozi tu wa nyumba kumi hauna, unavizia kuteuliwa na viongozi wako ambao kila uchao unawalamba miguu.

Kama kweli Profesa Jay hana mchango wowote mbona magamba mmejazana kwenye thread hii kutetea ujira wenu wa buku saba?

Buku Saba FC hoyeeeee...!!! cc: chama-gamba la Goms.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz
Njaa kitu kibaya Mwita Maranya ataishia kubeba mikoba; hajulikani hata afanye kitu gani ataishia huko kwenye kata; Togo kuna wenyewe hana jinsi ataishia kutumwa chai na vitafunio; Prof Jay katoa kibao cha kumsifu junior mambo bwerere Mwita Maranya kila siku kuchoma nauli ya daladala kutoka Segerea hamna kitu: mkuu ndio dunia hiyo ukitaka vya rahisi lazima utumike.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,
Hivi kweli huyo Prof. Jay katika siasa za Tanzania kuna kitu gani kipya atakileta labda kuimba...
 
Last edited by a moderator:
Buku Saba FC Lindoni. Hahahaha...pressure inapanda pressure inashuka> mtakufa mwaka huu nyie mazuzu.

Mkuu Mwita Maranya
kiatu kinakwisha soli Segerea mbali sana; nawasiliana na Ritz tuone tutakusaidia vipi inasikitisha sana kuona unavyohangaika unapigika kimaisha kwa kutumikia watu ambao hata shukrani hawana; pia nawasiliana na Bi Khadija Kopa akufundishe kuimba hiyo ndio gea kubwa Chadema labda ukitoa single ya kumsifia Josephine katibu slaa atauona mchango wako.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
mkuu chama, hivi gazeti kubwa tz ni lipi? Haya basi, juzi mbunge mmoja alikuwa akisema bungeni kuwa Rais na PM wapewe vipaumbele kwenye habari maana wameona Uhuru halisomwi tena. Sasa na hili mbona limempa front page kama kweli hii ni habari ndogo Tanzania!? DSC_0057_39d87.JPG
Mkuu Ritz
Naona atajiita Mbowe anafukuzia Tanzania Daima walau apate kajinafasi cha kutapika pumba zake; mkuu siku mojamoja kamata nakala ya Tanzania Daima pamoja na kwamba halifai hata kumchambishia mbwa tumpe support jamaa yetu.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Wewe gamba Ritz usijaribu kujifananisha na mtu kama mimi ambaye sina njaa kama wewe. Nyie magamba mna tabia za unafiki na kujikomba kwa wakuu wenu wa chama ili mkirimiwe ukuu wa wilaya mnadhani na sisi ni hopeless kama nyie.

Mimi ni mjumbe wa kamati ya utendaji ya wilaya niliyechaguliwa na wanachama, wakati wewe hata ubalozi tu wa nyumba kumi hauna, unavizia kuteuliwa na viongozi wako ambao kila uchao unawalamba miguu.

Kama kweli Profesa Jay hana mchango wowote mbona magamba mmejazana kwenye thread hii kutetea ujira wenu wa buku saba?

Buku Saba FC hoyeeeee...!!! cc: chama-gamba la Goms.

Wapi mie nijifananishe na wewe ebu nitake radhi mimi siishi kwa upambe wa siasa kama wewe.

Mkuu chama, kumbe huyu Mwita Maranya, pamoja na kelele zote humu ukumbini kumbe yupo Chadema wilaya ha ha haaa.

Mohamedi Mtoi, yeye atakuwa Chadema kata.
 
Last edited by a moderator:

Msanii wa bongo fleva mwenye mvuto na kupendwa na watu wote ni Diamond, wengine hakuna kitu kwa sasa. Na yeye ndiye anaye ongoza kwa kipato ndani ya bongo fleva. Prof. Jay hakuna kitu tena, ni oil chafu hiyo mkuu

sio kweli, hayupo na hakuna mwanamuziki anayependwa kama Juma Nature.....mweke Nature hapa na Diamond hapa

kwanza nakushangaa sn, mtu anayeimba mapenzi muda wote na kubana pua anapendwa na kila mtu...kuwa an fedha promo tu

Ben Pol, Barnaba wamemwacha kwa mbali sana huyo diamond, au kwa sababu wadada wanapagwa naye??
 
Wapi mie nijifananishe na wewe ebu nitake radhi mimi siishi kwa upambe wa siasa kama wewe.
Mkuu chama, kumbe huyu Mwita Maranya, pamoja na kelele zote humu ukumbini kumbe yupo Chadema wilaya ha ha haaa.
Mohamedi Mtoi, yeye atakuwa Chadema kata.

Kunitaja tu mara kwa mara hapa JF ni dalili za wazi kuwa una wish kuwa kama mimi lakini bahati mbaya huwezi. Mtu ambaye hata ujumbe wa nyumba kumi hauna unawezaje kujilinganisha na mjumbe wa kata? hiyo kama sio akili matope ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya
kiatu kinakwisha soli Segerea mbali sana; nawasiliana na Ritz tuone tutakusaidia vipi inasikitisha sana kuona unavyohangaika unapigika kimaisha kwa kutumikia watu ambao hata shukrani hawana; pia nawasiliana na Bi Khadija Kopa akufundishe kuimba hiyo ndio gea kubwa Chadema labda ukitoa single ya kumsifia Josephine katibu slaa atauona mchango wako.

Chama
Gongo la mboto DSM

Hizo siasa za kulamaba miguu ziko huko kwenu ccm, sisi huku tunapiga kazi kwa ajili ya maslahi ya watanzania wanyonge.

Nyie wenyewe chama na Ritz mnaishi mjini kwa kuganga njaa lumumba project, mnaweza wapi kupata fursa ya kumsaidia kamanda kama mimi ikiwa mmeshindwa kuwasaidia mama zenu na baba zenu wanaopigika na maisha hata mlo mmoja tu wa siku hawana uhakika nao?
 
Last edited by a moderator:
Hizo siasa za kulamaba miguu ziko huko kwenu ccm, sisi huku tunapiga kazi kwa ajili ya maslahi ya watanzania wanyonge.

Nyie wenyewe chama na Ritz mnaishi mjini kwa kuganga njaa lumumba project, mnaweza wapi kupata fursa ya kumsaidia kamanda kama mimi ikiwa mmeshindwa kuwasaidia mama zenu na baba zenu wanaopigika na maisha hata mlo mmoja tu wa siku hawana uhakika nao?

Mkuu Mwita Maranya
Hebu tufanye jambo tu tuandike kitu humu JF mimi chama nitamsemea ovyo Nape Nnauye na wewe msemee ovyoo slaa halafu tuone kati yetu atakaye lala na njaa ni nani; kama unayo jeuri sema nakuhakikishaia siyo utamlamba miguu slaa utamlamba ------ mbwa wa slaa. Wewe unapigania maslahi gani ya wanyonge? Wewe mwenyewe mnyonge utampigania gani sema unapigania tumbo watoto wasilale njaa hapo utaeleweka

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom