ANAPENDWA NA WATU GANI WASICHANA AU WANAWAKE AU WANAUME ? VP WEWE MWANAMKE AU MSICHANA
MISITARY YA BOb Marley unaweza fananisha na ya diamond we bilashaka utakuwa msichana do not forget your history nor your destiny ,
Kwani amekuja kutafuta kazi au ameamua kua mwanachama wa Chadema?
Je, ameeleza sababu za msingi za yeye kujiunga na CDM sasa?.....mtu hasiniambie ni swala la wakati, nataka hoja!
nani kakwambia kwenye vyama tunaangalia uwezo wa kutunga mashairi we vp.
kamanda kazi ni ngumu mno, je upo tayari kuzushiwa kesi na kulala lupango katika harakati zako za kuwakomboa watanganyika? kama upo tayari basi mungu akutangulie maana kazi ndio kwanzaaa inaanza.Msanii maarufu wa bongo flava Joseph Haule aka Proffesor Jay, leo hii amejiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kukabidhiwa kadi yake ya uanachama mjini Dodoma.
View attachment 94612
Huyu alikuwa ameisha jiishia zamani, hana tena Dili ndani ya muziki wa bongo fleva, alikuwa hana option zaidi ya hiyo , ili kujiliwaza kwani hata ndani ya medani ya muziki wa kizazi kipya hayumo tena , wakina Diamond wameisha mmaliza na kufanya jina lake lisahaulike. Kwa heri, kwa heri baba, kila wafu huzika wafu wenzao.
hata kinondoni anaweza chukua siyo issue kwa Songea tu, huyo ni msani, ukitaka kuju nguvu ya msaani kamuulize Prof. Mwandosya alikuwa anamchukulia poa kamnda Sugu, walipobwagwa tu... akajiona kumbe hata uprof wake wa njaa...
Hamna kitu bangi tuu zinaongezeka angekuwa diamond ingeluwa mstuko
Jf kuna raha sana ,Dah! Kesho utasikia amefunguliwa kesi kwa kosa la kuvaa suruali ya kijeshi.
"Chezea magamba weye"
mkuu umemsahau Roma mkatoliki, naye ni muhimu sana mkuu!Amini sana Jay ze Profesor tuko pamoja kamanda wangu umechakua kilicho chema, maana wajanja na wenye akiri wote wana hamia chama hiki, Bado tuna mtaka Mpoto, Lady Jay dee, AY na Reginal Mengi au sio...
Pamoja sana Jay
Dah! Wa wapi wewe? Unaweza kulinganisha Value ya Prof na Diamond? Duh!