chama mtu mwenye akili timamu hawezi kushindania mambo ya kipumbavvu kama hilo unalojaribu kunishawishi kufanya. Anayefanya hivyo ni yule tu mwenye akili ya samaki.
Sijawahi kuona mtu anajidai anaishi USA lakini kila sekunde anapiga umbea wa lumumba kwa udhamini wa manispaa ya ilala. Unadhani huko state watu wanaishi kwa kupiga majungu? kumbe hata kama mtu umepata exposure kubwa kiasi gani lakini ukishakuwa mwanachama wa ccm basi akili yako inajaa matope. Ndio maana mwenyekiti wenu anasema ili mle mnaliwa kwanza. Makamu mwenyekiti wenu anasema mna akili za samaki.
Sasa kama viongozi wenu wakuu ndivyo wanavyowaona wanachama wao, unawezaje tena kujaribu kujifanya wewe mambo yako safi kuliko mimi? Kumsema hovyo nape kwa nyie walamba miguu wa fisadi ni kawaida kwakuwa hamna aadabu na kwakuwa mnamtumikia huyo anayewalipa ili muendelee kuwepo JF.
Jana nimeona kundi la fisadi limeanza kumsema hovyo Nape kwakuwa amekanusha habari za mwenyekiti wenu kumfagilia fisadi mkuu wa ccm. Endeleeni kumsema hovyo
Nape Nnauye kwakuwa najua mnafanya hivyo kwakuwa hayuko kwenye kundi la mtandao wenu.