Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,867
- 37,637
nani kakwambia kwenye vyama tunaangalia uwezo wa kutunga mashairi we vp.
Si ndo hapo
nani kakwambia kwenye vyama tunaangalia uwezo wa kutunga mashairi we vp.
Lazima wakae!!! tayarisheni vigoda pumzi zimeisha CCM inafutika kama tembo wetu wanavyouwawa kwa kasi na jangiri mkuu mnamjua!!!
Dah! Kesho utasikia amefunguliwa kesi kwa kosa la kuvaa suruali ya kijeshi.
"Chezea magamba weye"
Jimbo Gani kapewa? Mikumi?
yaweza ikawa Hata kusakwa ili roho yake iachanishwe na mwili ili kuweka kitisho kwa wasanii wengine wanaojipanga kuja CHADEMA kama vile Afande sele.