Jamani tunaomba pro chadema na wapenda mabadiliko katika taifa letu wamshawishi na Roma Mkatoliki ajiunge rasmi na makamanda, itakuwa imetulia sana, hatutakuwa na haja ya kuyakodi kina diamond kama maccm yafanyavyo!
sikiliza wimbo wa R.O.M.A-mathematics utaskia "sisaliti,sirudishi kadi ya chama kama nakaaya"
jamaa tayari yupo chadema tangu long!