Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
ameona anadoda kisanii stress zimemuelekeza huko na kuibukia kwenye chama cha wahuni kama yeye
bado nachalenge uwezo wa j katika kujenga hoja ila katika kukimbia kimbia wamepata mtu ila kwa maana ya weledi bule kabisa.
weee usinichekeshe..eti diamond mvua nguo anapendwa na watu wote...Prof..ndo all time best musiciaN ukimcompare na Diamond mchonga skendo
tunampeleka songea mjini, mwaka 2015 jimbo lake, nchimbi asahau kabisa!Karibu professor jay..nakuhakikishia tafuta jimbo utuwakilishe.100% tunakupa kura ...nadhani jana 20/5/2013 ulishuhudia ubabe wa spika bungeni bila kanuni ilimradi maslahi yao yasiguswe.wasanii hakuna anayewajali..
ameona anadoda kisanii stress zimemuelekeza huko na kuibukia kwenye chama cha wahuni kama yeye
haya mkuu, mfananishe Lisa wa TLC na Diana Ross, the legend!
Msanii wa bongo fleva mwenye mvuto na kupendwa na watu wote ni Diamond, wengine hakuna kitu kwa sasa. Na yeye ndiye anaye ongoza kwa kipato ndani ya bongo fleva. Prof. Jay hakuna kitu tena, ni oil chafu hiyo mkuu
nani kakwambia kwenye vyama tunaangalia uwezo wa kutunga mashairi we vp.Kwa taarifa yako Uwezo wa kuandika mashairi ya kiwango cha juu kama cha Prof J, ni zaidi ya hoja za kawaida za Wabunge wengi wa CCM.
...Kumbe Dr Slaa ni maarufu?What is the story here? Inamaana Professor J anam replace DR Slaa na Mbowe kwa umaarufu au?!
mkuu 2015 nchimbi asahau songea mjini! Tumegundua kusini tumekumbatia maccm mno, ndo maana wanatusahau hata kwa umeme mpaka sasa hatujapewa! Ccm ni janga kwa taifa letu!Mara walisema CDM inazidi kupoteza mvuto,mara ooh chama cha kaskazini n.k.
Kwa mwendo huu Waziri Nchimbi 2015 bye bye,
asante mkuu kuna siku utajuwa uhuni wetu ulipo !!!!ameona anadoda kisanii stress zimemuelekeza huko na kuibukia kwenye chama cha wahuni kama yeye
...CDM ni mafunzo mkuu. Mbona hata Makinda na Ndugaye wapo darasa la Tundu Lisu? ni wakorofi lakini wanaivishwa sana na Tundu Lisu au hujagundua bado. Hawatakiri leo lakini watakapozeeka watakapostaafu watakujakiri kuwa "Tulifundishwa saana kanuni na Mh Tundu Lisu"bado nachalenge uwezo wa j katika kujenga hoja ila katika kukimbia kimbia wamepata mtu ila kwa maana ya weledi bule kabisa.