Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Ni habari njema kwa wapenda mabadiliko. Lakini kimtazamo wa kisiasa na kimuziki huwezi kumlinganisha Sugu na Prof. Sugu alianza harakati tangu enzi ya chama Kimoja na ni pure hardliner na ni risk taker(single yake ya kwanza alitoa 1985 ikiitwa "Ni mimi" enzi hizo akiitwa 2-Proud).Baada ya hapo aliendelea kutoka na nyimbo za kiharakati kama "niko mikononi mwa polisi".Harakati zake hakikuishia majukwaani tu. Mara kwa mara alikua anagombana na Ruge na kusaga (Mawingu studio then clauds) kwa kudai haki yake wala hakuogopa kwamba nyimbo zake zitaminywa na Radio/TV station kwa kudai haki yake.

Prof. Jay amekuja earlier 1990s chini ya Hard Blasters na amenogesha sana Bongo flava-ninamkubali.Japokua nae ana nyimbo kadhaa za kiharakati kama "Kikao cha dharura..aka ndio mzee". Lakini bado kimtazamo huyu ni soft ukilinganisha na Sugu. Sugu ameonesha njia. Prof. Jay karibu kwenye harakati za ukweli muwaokoe watanzania na CCM iliyopoteza dira ya kuongoza na sasa kinatawala.

Hapa hatuangalii ukongwe na uzee hapa tunaangalia u smart wa mtu.Katika mtu aliimba siasa vizuri na kufichua mambo ya ajabu ya serikali hapa nchini lazima umtaje ROMA na Prof Jay mi binafsi simkubali sugu kuanzia nidhamu na hata maamuzi yake anayofanya katika mambo yake ya kiharakati,Huenzi kuniambia harakati zake mheshimiwa mkubwa kama yule anatengeneza kundi la kuimba matusi makubwa(tafuta kundi linaitwa Anti virus wamejaa wajinga wanaoimba kwa hisia za bangi likiongozwa na yeye) alafu leo uje kunifananishia jay na sugu.Muangalie hata akiwa bungeni utaelewa nazungumzia nini.Sugu kaingia bungeni kwa umaarufu tu lakini sio kama yupo nondo ki siasa.Kama unabisha angalia interview ya sugu uje uangalie na interview ya prof jay utaelewa nini nazungumzia.Pale CHADEMA tunapazia sio mlango.
 
prof j kuingia kwenye siasa ni kujimaliza,me sioni kama ni sahihi yeye kufanya vile na tena kwenye chama cha Chadema
daaah pole sana na r.i.p prof j
Hv kwann unakurupuka kupost ujinga ujinga,ndo mana inafikia mahala watu wanaanza kufikiri kana kwamba JF ni ya WAHUNI tu,leo hii kijana unaulizwa kati ya KUKU na BATA anamchagua yupi?Unajibu MBUZI,halaf unacheka ukidhani ushindi,Wasanii kuwa CCM sawa CHADEMA hapana!Huu ndo ufinyu wa mawazo na fikra zisizopevuka.Nchi za Hai
iti na Senegal wasanii wanwsimama kupitia upinzani kutaka Urais,leo unahoji uanachama?
 
Amini nakwambia prof. J ndo mbunge wa songea mjini mwaka 2015 na si vinginevyo!

mkuu mimi nimekubali 100% pr.J lazima awe mbunge 2015 tena sio kwa kwa kuiba kula bali kuchaguliwa kihalai,ingawa ni vizuri kuwa na wabunge wengi wapinzani ila tunaomba wawe ni viongozi wenye makusudi na dhamira ya kuondoa umaskini na sio kuingia madarakani kwa lengo la kujinemesha wao wenyewe na familia zao
 
Sasa harakati ndio zinapamba moto karibu prof jay umefanya maamuzi sahh sana japo umechelewa ila sio issue muda upo.. Karibu songea kumtoa nchimbi tena utamtoa kirahisi sana.. Yani yule ni mwepesi kama kishada.

Nyie mlio like hii comment pamoja na mtoa comment, Nchimbi atawatafuta?. Anyways big up kaka mkubwa Profesa Jay, karibu sana harakatini.
 
ccm_changia_prof_jay_A5.jpg

DIAMOND.JPG


Yanga+na+J+Dee.JPG


DSC06566.JPG
 
Wasanii wa kibongo njaa ndiyo zinawasumbua baada ya kuona muziki haulipi wameamia kwenye siasa.
 
Usilalie bahati ya mwenzako mlango wazi,Sugu alilala mlango wazi usiku akatupiwa gunia la pesa,prf.J anataka kulala mlango wazi !! chunga usije liwa na simba au kufanywa vibaya mtoto wa kiume.
 
Amechagua njia iliyo njema, asikonde maana hataitwa kwenye mambo kama ubalozi wa hapa na pale lakini soon, itakuwa ni zaidi ya hapo
 
Lazima wakae!!! tayarisheni vigoda pumzi zimeisha CCM inafutika kama tembo wetu wanavyouwawa kwa kasi na jangiri mkuu mnamjua!!!
 
Back
Top Bottom