1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 611
kwa hiyo j anaamini kuwa nayeye ni miongoni mwa watu wanojua siasa kazi anafikili kuwa na mwili wa kutikisika ndiyo kujua siasa.
Siasa ni maisha,siasa sio uongo kama mnavyo amini c.c.m,na uelewe kua hip hop ni maisha pia,ndio maana ukiangalia mashahiri yote ya Prof Jay anaelezea maisha halisia kabisa yanayomsibu Mtanzania,au wewe unadhani siasa ni kubwabwaja na kubishana bila hoja kama Lusinde?amka